Mambaz 24 jr
JF-Expert Member
- Aug 25, 2023
- 695
- 1,421
Kazi kweli kwelikwamba hao bilionea wa kihaya ndio wajenge stendi na barabara za bukoba?
Wajenge nyumba zao kwanza ili tuone sababu ya kuwajengea soko na stendikwamba hao bilionea wa kihaya ndio wajenge stendi na barabara za bukoba?
kama hua unapita barabara ya singida arusha...Wajenge nyumba zao kwanza ili tuone sababu ya kuwajengea soko na stendi
Husda huenda imetamalaki huko !Nashindwa kuelewa ni kwanini wahaya na misifa yoote hii mijini lakini Bukoba pako very very backward.
In fact hata kamji ka wilaya kama Kahama kako better off by far kuliko Bukoba.
Wahaya mnakwama wapi?
Scared of ULOZI ??! 😳 !Wajenge nyumba zao kwanza ili tuone sababu ya kuwajengea soko na stendi
Unaipinga hoja yangu kwa kutumia takwimu ambayo umeisahau??kama hua unapita barabara ya singida arusha...
kuna mji mdogo pale mkoa wa manyara(nimepasahau jina), wana stend nzuri sana na hakuna majengo mazuri ya wananchi...
kwahiyo hoja yako naipinga...
nionavyo, kuna namna bukoba inahujumiwa makisudi...
mimi kusahau jambo haithibitishi kwamba halipo...Unaipinga hoja yangu kwa kutumia takwimu ambayo umeisahau??
Nakunukuu
"kuna mji mdogo pale mkoa wa manyara(nimepasahau jina), wana stend nzuri sana na hakuna majengo mazuri ya wananchi."
Wewe ni mtu wa ajabu
Hawana intelligence yoyote,Japo ni kweli hali ya BK inatisha na kusikitisha, ila Nyie ndugu zetu Wahaya mmebarikiwa sana!,kwanza kwa Tanzania,Wahaya ndio wenye the highest IQ wakifuatiwa na Chagga na Nyakyusa,ndio mnaongoza kwa usomi na wasomi wenye Ph.D!! Ndio mnaongoza kwa diaspora wenye decent jobs!kiingereza kingi, nshomile ing'ambo miaka ishatu!, mugambire inafu!.
Enzi hizo nikitua NY, naongoza Mt. Venon na kufikia pale kwa Mama T, (sijui bado yuko hai?atakuwa 100+!)
Wawawake wenu ndio mabingwa wanaoongoza kwa upishi wa kile chakula, wanapika balaa!na chakula chao ni kitamu balaa!Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi? na wafanya biashara wa kwanza wa ile biashara,toka enzi za Maggots, hadi kule kwa wavura viratu na mugambire inafu!, proceed za hii
biashara very lucrative, Wahaya
wanaoeleka wapi? au
zinafanyia nini?!
Ndio mmemtoa MD wa kwanza Tanganyika, Dr Vedastus Kyaruzi, na Prof wa kwanza, Prof Rweyemamu (baba Kemi)
Ndio mnaongoza kwa mijengo Masaki, nini kinawazuia msiendeleze kwenu?!
JPM kawajengea uwanja Chato hamuutumii!, Naunga mkono Uwanja wa Ndege wa Chato. Una justification, utakuwa kama Ggabolite au Yamoussoukro. Watalii watamiminika! mpewe nini?!.
P
Si ni mambo yetu yale ya misosi, sisi Wasukuma tunapenda sana yale mambo ya kula kula misosi , Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi?Mkuu P hapa kwenye mlo umeniacha kidogo, ni mlo gani unamaanisha?
Penye miti hakuna wajenziNashindwa kuelewa ni kwanini wahaya na misifa yoote hii mijini lakini Bukoba pako very very backward.
In fact hata kamji ka wilaya kama Kahama kako better off by far kuliko Bukoba.
Wahaya mnakwama wapi?
Atakuwa Mpuuzi sana ambaye anadhani uchaguzi feki Huu Una maana kwao !!
Kwanza hawana stend!
Hawana soko!
Barababara kuu imekwama na pesa wamekula!
Mbaya zaidi ni mkoa hauna hospital ya viwango
Britanicca
Huko wanajipooza TU kwa ngono na RubisiAtakuwa Mpuuzi sana ambaye anadhani uchaguzi feki Huu Una maana kwao !!
Kwanza hawana stend!
Hawana soko!
Barababara kuu imekwama na pesa wamekula!
Mbaya zaidi ni mkoa hauna hospital ya viwango
Britanicca
Sasa tutaishi wapi?
Muhaya alipokuwa kwenye mataa ya KAMATA na Muhaya mwenzake walimuona askari traffic MUHAYA, anaongoza magari manually kwa sababu ya foleni.Mambo yakawa kama yafuatavyo 🤣🤣🤣Japo ni kweli hali ya BK inatisha na kusikitisha, ila Nyie ndugu zetu Wahaya mmebarikiwa sana!,kwanza kwa Tanzania,Wahaya ndio wenye the highest IQ wakifuatiwa na Chagga na Nyakyusa,ndio mnaongoza kwa usomi na wasomi wenye Ph.D!! Ndio mnaongoza kwa diaspora wenye decent jobs!kiingereza kingi, nshomile ing'ambo miaka ishatu!, mugambire inafu!.
Enzi hizo nikitua NY, naongoza Mt. Venon na kufikia pale kwa Mama T, (sijui bado yuko hai?atakuwa 100+!)
Wawawake wenu ndio mabingwa wanaoongoza kwa upishi wa kile chakula, wanapika balaa!na chakula chao ni kitamu balaa!Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi? na wafanya biashara wa kwanza wa ile biashara,toka enzi za Maggots, hadi kule kwa wavura viratu na mugambire inafu!, proceed za hii
biashara very lucrative, Wahaya
wanaoeleka wapi? au
zinafanyia nini?!
Ndio mmemtoa MD wa kwanza Tanganyika, Dr Vedastus Kyaruzi, na Prof wa kwanza, Prof Rweyemamu (baba Kemi)
Ndio mnaongoza kwa mijengo Masaki, nini kinawazuia msiendeleze kwenu?!
JPM kawajengea uwanja Chato hamuutumii!, Naunga mkono Uwanja wa Ndege wa Chato. Una justification, utakuwa kama Ggabolite au Yamoussoukro. Watalii watamiminika! mpewe nini?!.
P