ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 8,076
- 17,463
Hahaha mkuu bwana hizo tablets zimekuwa given to them na Opportunity Education Foundation. Shule nyingine kadhaa hapa Tanzania wamepewa pia.
sijatangaza sifa nimewajulisha kinachojiri bukoba wakati huu wa science na technology
Hiyo shule inamilikiwa na nani?