Bujibuji seriously natangaza NDOA

Bujibuji seriously natangaza NDOA

Hongera sana mkuu
Kila lakheri..

Usisahau kututumia address .lol
 
kama ni kweli hongera,weka no yako hapa tukupigie,vilevile tutakuchangia kukuonyesha umoja wetu hapa wana jfharusi itakuwa wapi na mitaa ipi?weka mambo hadharani umekua sasa
0717454455 e mail bujhu2t@gmail.com.Ukija shereheni hutopata kadi bali ntakualika kwa mdomo tu, njoo na rafikizo ili usiwe bored
 
Siku zote nilikuwa najua bujubuji ni mwanaume.... Kumbe nungayembe... khaaa! kweli JF ni zaidi ya niijuayo.... (Nungayembe ni mwanamke asiyeolewa, kwa mujibu wa waanzilishi wa hili jina)

Mh hii nayo ni hoja ya kujibu bujibuji
 
He kumbe hata JF ushatest zali kweli wewe kiboko ni wasiwasi na hii sread.hakikisha umebadili tabia kiukweli mheshimiwa ndoa si lelemama.
 
huyu bujibuji si ni shori? ama kweli dunian imekwisha....wanawake kuoana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom