Leo mpaka kieleweke............ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu
Si ajabu atakuja na jibu kuwa dini yake inamruhusu kuoa mke wa pili... jibu hilo nalikataa. Bujubuji pleasse, lete jibu
Si ndo hapo sasa anakuwa mwongo anasahau leo nikukabana koo, penalt kivuli vyote
Bora aingie ili tuwe tunfanya njunji rasmi.Du yani bujibuji faster kabla mawazo hayajabadilikaUmeamua kuingia kwenye jela ya malavi davi
Dena naona Bujibuji ameamua kukimbia..................
Alisahau kwamba anadeal na great thinkers pole zake
Dena unatisha............jamaa kaingia mitini bila kupenda. Hahahhahaahaaaaaaa
Ha ha ha ha ha ha ha ngoja tumsubiri bado anatafakari
Hajani PM bana kaingia mitini hataki hata kusign inDA amekuPM nini mie huku nasubiri jibu
jamani my bujibuji wa mbujimayi amekombilia wapi tena?Mbona yuko jamvini 24/7?Dena naona Bujibuji ameamua kukimbia..................Alisahau kwamba anadeal na great thinkers pole zake
Mbona Ubungo uliuziwa mche wa sabuni ukadanganywa ni simu? Hayo mbona huyasemi?Analetea watu wazima na akili zetu usanii hapa alah
Hajani PM bana kaingia mitini hataki hata kusign in
thibitishaAmeshindwa kujibu kapata kisingizio msome hapo
Mbona Ubungo uliuziwa mche wa sabuni ukadanganywa ni simu? Hayo mbona huyasemi?
hahaaaaaaaaaaHata wewe unaoa??????
Kweli wanawake hawana macho kudadeki.
jibu swali la DAMbona Ubungo uliuziwa mche wa sabuni ukadanganywa ni simu? Hayo mbona huyasemi?
By Bujibuji
Mke wangu mpenzi, nimemtoa kijijini.
Nimemuoa akiwa na bikira yake, hapo mwaka juzi mwishoni.
Mwaka huu Mungu akatusaidia, akabeba ujauzito.
usiku wa kuamkia leo kajifungua katoto kazuri ka kike.
Nilipoenda kumsalimia, nikapokelewa na manesi wenye hasira, wamenitukana sana na kunidhalilisha eti mi nimemuharibu mke wangu kwa kumwendea kinyume na maumbile.
Kwa kweli sijawahi kumfanya hivyo hata mara moja, na wala sina tabia hiyo.
Je nimfanye nini huyu mama watoto wangu??