Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,832
hahahaaa bujibuji kapata jiko! Sasa chakula kitapikwa kisawasawa! Hureeeee tusiokua na majiko tulie ohio
yaani sipati picha
hahahaaa bujibuji kapata jiko! Sasa chakula kitapikwa kisawasawa! Hureeeee tusiokua na majiko tulie ohio
Huyu Bujibuji hii itakuwa mara yake ya ngapi kuoa? Kuna nyuzi zake humu anatupa visa vyake na mkewe. Au huyo tuliekuwa tunamsoma humu alikuwa "Mke" na si Mke?
Kama ni kweli, namuonea huruma huyo "Mke" mtarajiwa.
"Hongera".
You will never walk alone...... I am just behind you sirKhaa! bujibuji nae anaoa duhh sasa nimebaki peke yangu wallah
Hongera sana kamanda
Bujibuji!!mbona anawatoto wawili?au bujibuji mwingine?km huyu wa jf anawatoto wawili na wake watatu!niko jiran naye
Weka picha bobNdio tunatoka kanisani kuona kijana akikabidhiwa ubavu wake, soon shughuli inahamia ukumbini
Ndio tunatoka kanisani kuona kijana akikabidhiwa ubavu wake, soon shughuli inahamia ukumbini
Ndio tunatoka kanisani kuona kijana akikabidhiwa ubavu wake, soon shughuli inahamia ukumbini