Budget Comparison

Ndugu issue sio Lini walianza, Mimi siku ya kwanza kutua Dubai ilikuwa september 1977, nikiwa kijana wa miaka 14, nikielekea India na mzazi wangu, kwa Gulf Airways. tulikaa wiki moja kwa ndugu wa kizanzibari, mji haukuwa na harakati hivyo, Dar ilikuwa zaidi ya Dubai. kitu wanachotuzidi ni utendaji na namna wanavyopigania kuwa bora No.1. kwa kila kitu. Best service, Best Facility, Fast implementation, na zaidi ya hayo Investments zinapewa vipao mbele vingi, total encouragement and support.

Hawa wana usemi toza hodi ndogo, kuimarisha uchumi, uwekezaji na utumiaji. Sisi tungekuwa tunatoza ushuru mdogo si tungekuwa RE-EXPORTERS wakubwa kwenye nchi zote za jirani.
ndio maana sisi wengine magu pamoja na mapungufu yake tunasema afadhali huyu.

ana mengi tutakuja kumkumbuka nayo kuliko rais mwingine yeyote.
 
ndio maana sisi wengine magu pamoja na mapungufu yake tunasema afadhali huyu.

ana mengi tutakuja kumkumbuka nayo kuliko rais mwingine yeyote.
Biashara iimarishwe, kodi tuzipunguze. Wafanyikazi wa serekali wafun,e kuheshimu kqzi zao, wanasiasa na polisi waache ufisadi na kula rushwa, hali ya uchumi itabadilika sana.

Magufuli ndiye anayeweza majukumu haya, kwani ni Raisi mwenye uamuzi na asiyeogopa lawama.
 
Dubai...Jiji pekee lenye hotels za nyota 7.. sijui kama kuna Jiji lingine huku Duniani lenye hotels za nyota 7.
 
Leo nikiwa kikazi Dubai ninasoma gazeti la Asubuhi GULF NEWS, JIJI la DUBAI latangaza budget yake ya 2021 kuwa ni US$ 15.5 Billions, Dubai lina wakazi 3.31m, Uchumi wa Dubai unategemea Biashara, Service Industry na Utalii; JIJI la tatu UAE la Sharjah Limetangaza budget yake ya US$ 9.1Billions, LINA WAKAZI 1.4 M, Uchumi wa Sharjah ni Biashara Services na wana GAS kiasi kidogo.

Hali ambapo Tanzania Nchi iliyo kubwa sana zaidi ya UAE, Budget yetu ni US$15.14 Billions, Na tuna fursa ya kuweza kushawishi Biashar kwa ukubwa zaidi, Tuna vivutio zaidi ya Nchi za Kiarabu zote ukizichanganya, Wao wana wananchi wasio pita million 2, na wageni 8million wanao fanya kazi na biashara.

Ninaishauri Serekali Yangu na Raisi wangu, tuache ujuaji mwingi, hebu tuwasome hawa rafiki zetu na tujaribu kuwaiga:

Dubai welcomed a record 16.73 million tourists in 2019, an improvement over the previous two years driven by soaring Chinese, Russian and Omani visitor numbers. The number of international visitors grew by 5.1 percent last year but is still short of its 2020 target of 20 million tourists.Jan 23, 2020 ( Dubai announces record tourism arrivals in 2019. )

SWALI JEE TUNAWEZA ITUMIAJE FURSA YA KUWEZA KUUTUMIA URAFIKI MZURI TULIOKUWA NAO NA HAWA MARAFIKI WATUPENDAO WA UAE, NA KUWEZA KUJIFUNZA WALIVYOFANIKIWA KULIFANYA JANGWA LAO LEO LIKAWA KIMBILIO LA ULIMWENGU MZIMA, KUWA NI PAHALI MUHIMU SANA PENYE RAHA, AMANI, NA SHOPPING NZURI NA KWA KILA UWEZO.

“In five years' time Oil in UAE will run out, but it has diversified its assets and interests enough with 95% of its income derived from tourism, property and music shops, other countries in the region should learn from what Dubai has done and they should beware that conventional fuel will begin to decline in the next.

( Oil in UAE is Running Out: It’s time Emiratis Prepare for a Brave New World - )
Wale wana sera nzuri za wawekezaji pamoja na utawala bora, hapa walikuwepo akina Manji, Dangote wote wamekimbia sababu ya sera mbovu na utawala mbovu mkuu, hivyo usishangae shangaa utawala tulio nao. Wewe mwenyewe upo Dubai sababu ya sera mbovu tulizonazo pengine ungewekeza ndani mkuu. Ni hayo tu mkuu
 
Ndugu issue sio Lini walianza, Mimi siku ya kwanza kutua Dubai ilikuwa september 1977, nikiwa kijana wa miaka 14, nikielekea India na mzazi wangu, kwa Gulf Airways. tulikaa wiki moja kwa ndugu wa kizanzibari, mji haukuwa na harakati hivyo, Dar ilikuwa zaidi ya Dubai. kitu wanachotuzidi ni utendaji na namna wanavyopigania kuwa bora No.1. kwa kila kitu. Best service, Best Facility, Fast implementation, na zaidi ya hayo Investments zinapewa vipao mbele vingi, total encouragement and support.

Hawa wana usemi toza hodi ndogo, kuimarisha uchumi, uwekezaji na utumiaji. Sisi tungekuwa tunatoza ushuru mdogo si tungekuwa RE-EXPORTERS wakubwa kwenye nchi zote za jirani.
CCM ndiyo imetufikisha hapa mkuu
 
Huku tuko busy kutumbua ma-DED kwanza, kuvunja hotel za akina Sugu na kuapisha wabunge hewa wa upinzani! Ka mataahira vile!
 
Huku tuko busy kutumbua ma-DED kwanza, kuvunja hotel za akina Sugu na kuapisha wabunge hewa wa upinzani! Ka mataahira vile!
Tuwache kebehi za kisiasa,na tuendelee kuishawishi serekali yetu kukuza na ku encouraged biashara
 
ndio maana tunasema mahesabu ya wazungu sio msahafu au katiba,wanafanya wanachotaka wao kiwe,sio lazima uwe ndio uhalisia.

wao maisha chini ya $1.9 kwa siku wewe no masikini,sasa nikuulize shuilingi elfu 5 tz unafanyia vingapi??
GDP ya Purchasing Power Parity huwa ina factor in tofauti ya thamani ya pesa na pia Real GDP ina factor in tofauti ya Interest rates na mfumuko wa bei kwahiyo hyo $1.9 huwa inakuwa converted kulingana na purchasing power.

So sio kweli hiko unachosema
 
wakatu dubai inaanza kuchukua hatua za mabadiriko 1901 ili kuwa jiji la starehe duniani kufikia 2050,sijui tanzania tulikuwa na mkoroni wa rangi ipi mwaka huo!!.

leo miaka 120 tunageukia matokeo tu,na kuanza kulaumu,huku tukiwa tumesahau kwamba zikijengwa barabara nzuri hatutaki,zikinunuliwa ndege na kujengewa viwanja hatutaki,kitu tunataka ni kuona hela zikiwa zinapeperuka kwenye miti.

sisi ndio watz.
Umri wa nchi sio kigezo..... Asian Tigers (kagoogle) walikua uchumi sawa tu na Tz miaka ya 60 ila leo hii sio korea au Malaysia wametuacha zaidi ya mara 30 sasa unavyodai age determines the success nikueleweje.

So umepotosha once again
 
unaona mlivyo viazi.
kwahiyo dubai kila mtu ana uchumi sawa na mwingine.
Hiyo ni average tu ili kupata picha ya kwamba kma nchi ikiamua kugawa pato lake kwa kila raia je watakua na kiasi gani!!

Hii inafanyika ili kuweka balance kati ya nchi zenye watu wengi na wachache.

Mfano familia yako ina watu tisa ila unaingiza laki 5 huwezi kuwa sawa na familia ya watu wawili inayoingiza kiasi hiko hiko.

So per capita inaingia hapo

Once again umepotosha!!
 
Umri wa nchi sio kigezo..... Asian Tigers (kagoogle) walikua uchumi sawa tu na Tz miaka ya 60 ila leo hii sio korea au Malaysia wametuacha zaidi ya mara 30 sasa unavyodai age determines the success nikueleweje.

So umepotosha once again
nchi kama china mnayosema tulikuwa nayo sawa 1950,mwaka huo ilikuwa inatengeneza silaha zake za kivita kama smg na sar.

korea mnayohubiri NK, 1970 likuwa inazalisha mashine za umwagiliaji,tukawaomba msaada na nyerere.

wakati tz ilikuwa inakusanya watu waunde vijiji vya ujamaa mwaka huo.
 
Hiyo ni average tu ili kupata picha ya kwamba kma nchi ikiamua kugawa pato lake kwa kila raia je watakua na kiasi gani!!

Hii inafanyika ili kuweka balance kati ya nchi zenye watu wengi na wachache.

Mfano familia yako ina watu tisa ila unaingiza laki 5 huwezi kuwa sawa na familia ya watu wawili inayoingiza kiasi hiko hiko.

So per capita inaingia hapo

Once again umepotosha!!
hayo ndio yale mahesabu ya"bahari yote ikigeuka kuwa supu ni mikate mingapi itatosha wananchi"kisha waulizwaji mnajibu miwili miwili.

utagawanya pato hilo kwa mwananchi mmoja mmoja katika wati upi!!!
 
Back
Top Bottom