maliselo22
Member
- May 18, 2017
- 72
- 52
Kutoka dola 7400 hadi 6950,bei ya Btc kushuka ndani ya dakika mbili,hivyo imepelekea soko la cryptocurrency kwa ujumla kushamiri rangi nyekundu(shuka bei),bitcoin imeshuka kwa kiwango cha 2%.Kutokana na anguko hili ,ethereum,ripple,bitcoincash na eos ,kuanguka kwa kiwango asilimia 6 had 7 .Kutoka na btc kushindwa kukaa kwenye momentum rengi ya dola 7400.
Kama Btc itajirudi kwenye levo ya dolar 7200 hadi $7300,ndani ya masaa 12 hadi 24yajayo ,nakua imara kwenye levo ya $7000,hivyo itakua ni rahisi kwa Btc kuendelea kuongoza soko la cryptocurrency ,pia ita epuka kushuka hadi $6000,
Pia kama Btc itashuka chini ya dola 7000kwenye sapoti levo kama tulivyo ona katika miezi ya tano na saba,hivyo tutatarajia kuendelea kushuka hadi chini ya dola 6000,
USHAURI
MAELEZO HAYA YANAWEZA YASI FANYE KAZI KWA ASILIMIA MIA MOJA ,HIVYO BASI,FANYIA KAZI KWA ASILIMIA HAMSINI KWA HAMSINI.
#grandpow
Kama Btc itajirudi kwenye levo ya dolar 7200 hadi $7300,ndani ya masaa 12 hadi 24yajayo ,nakua imara kwenye levo ya $7000,hivyo itakua ni rahisi kwa Btc kuendelea kuongoza soko la cryptocurrency ,pia ita epuka kushuka hadi $6000,
Pia kama Btc itashuka chini ya dola 7000kwenye sapoti levo kama tulivyo ona katika miezi ya tano na saba,hivyo tutatarajia kuendelea kushuka hadi chini ya dola 6000,
USHAURI
MAELEZO HAYA YANAWEZA YASI FANYE KAZI KWA ASILIMIA MIA MOJA ,HIVYO BASI,FANYIA KAZI KWA ASILIMIA HAMSINI KWA HAMSINI.
#grandpow

