Mkuu ww umemaliza kila kitu na Kuna vingine nimevishuhudia live na vingine vimenitokea mimi mwenyewe.
Mimi mwenyewe nililazimisha kusoma Engineering na nikafanikiwa kumaliza.
Sasa kinachotokea nikienda kwenye interview ya kujieleza huwa nafaulu na kwa kishindo na kazi napata.
Lkn kinachonisumbua Sasa ni kwenye huo utendaji wa kazi.
Najikuta muda mwingi napenda kuandika proposal mbalimbali kuhusu mazingira ya kazi,budget, quality and process improvement, management styles recommendations,staff rights,na hivi vitu sijasomea lkn najikuta vinakuja tu vyenyewe kichwani mwangu.
Sasa sijui ningesomea fani gani hapo ili iendane na mimi?