BSc Mechanical Engineering au BA Accounting achague ipi

BSc Mechanical Engineering au BA Accounting achague ipi

Nenda Mechanical. Nakuhakikishia hutojuta.. japo itaidi upige msuli kweli kweli. Ila mechanical ni moja ya kozi mama ambazo hajira zake huwa hazikosekan
 
Nenda Mechanical. Nakuhakikishia hutojuta.. japo itaidi upige msuli kweli kweli. Ila mechanical ni moja ya kozi mama ambazo hajira zake huwa hazikosekan
Kama hujui unapoenda,njia yoyote itakufikisha.
Huyo anayetaka tumsaidie kuchafua kozi ya kusoma,bila shaka ni kijana wa kidato cha nne au sita,sasa wajameni! Mpaka unamaliza vidato vinne/sita haujajua unataka kusomea nini elimu ya juu!nyie watoto wa siku hizi mbona shida sana!
Mimi nilijua nataka kusomea nini nikiwa shule ya msingi.nilipoingia kidato cha kwanza tu,nijakutana na fizikia,na kemia,sikuwa na shaka tena,nikajua hapa ni uhandisi tu,tena wa Telecomunication/IT,
Sasa wewe mpaka sasa haujajua,wakati mwingine swala la kujiriwa au kujiajiri halitegemei umesomea nini,kuna watu wamesomea sheria lakini wamefungua studio za kupiga picha.kuna watu wamesomea udakitari sasa hv,wamejikita kwenye kilimo na ufugaji.
Kuna watu wana BBA,lakini mtaani wanapiga kazi za IT!
Ushauri wangu,kila kozi inafulsa zake,soma kitu ambacho unafikiri kitaweza kufungua talents zako za ndani,
Kuna watu wamesoma uhandisi wa umeme,lakini wamefungua kampuni za kutengeneza fanicha,
 
Nenda Mechanical. Nakuhakikishia hutojuta.. japo itaidi upige msuli kweli kweli. Ila mechanical ni moja ya kozi mama ambazo hajira zake huwa hazikosekan
Mkuu labda zamani ila sio Sasa, Vijana wa FTC na bachelor holder wa mechanical engineering kitaani wamejaa na hawana Cha kufanya yeye asome anachopenda ..., Akisoma kufuata ajira atashindwa tu MTAANI baada ya kumaliza
 
Nope sio zamani mkuu. Hizi coz ni moja ya kozi mama ambazo soko lake halitakaa liishe.
Binafsi ni japo sijasoma hii coz.. lakin nina background yake na kwa uzoefu wangu tu.. simaanishi kazi ya kuajiriwa tu. Hata kujiari.

Mkuu labda zamani ila sio Sasa, Vijana wa FTC na bachelor holder wa mechanical engineering kitaani wamejaa na hawana Cha kufanya yeye asome anachopenda ..., Akisoma kufuata ajira atashindwa tu MTAANI baada ya kumaliza
 
You have a point. Lakin somo la kujiari ni somo gumu sana kwa vijana wa sasa. Haswa haswa hawa .com. Enzi zangu inaweza isiwe ngumu..
Hii kozi inampa wigo mpana kujiajiri ama kuajiriwa.. iko open. Atafute balance sasa..
Kama hujui unapoenda,njia yoyote itakufikisha.
Huyo anayetaka tumsaidie kuchafua kozi ya kusoma,bila shaka ni kijana wa kidato cha nne au sita,sasa wajameni! Mpaka unamaliza vidato vinne/sita haujajua unataka kusomea nini elimu ya juu!nyie watoto wa siku hizi mbona shida sana!
Mimi nilijua nataka kusomea nini nikiwa shule ya msingi.nilipoingia kidato cha kwanza tu,nijakutana na fizikia,na kemia,sikuwa na shaka tena,nikajua hapa ni uhandisi tu,tena wa Telecomunication/IT,
Sasa wewe mpaka sasa haujajua,wakati mwingine swala la kujiriwa au kujiajiri halitegemei umesomea nini,kuna watu wamesomea sheria lakini wamefungua studio za kupiga picha.kuna watu wamesomea udakitari sasa hv,wamejikita kwenye kilimo na ufugaji.
Kuna watu wana BBA,lakini mtaani wanapiga kazi za IT!
Ushauri wangu,kila kozi inafulsa zake,soma kitu ambacho unafikiri kitaweza kufungua talents zako za ndani,
Kuna watu wamesoma uhandisi wa umeme,lakini wamefungua kampuni za kutengeneza fanicha,
 
You have a point. Lakin somo la kujiari ni somo gumu sana kwa vijana wa sasa. Haswa haswa hawa .com. Enzi zangu inaweza isiwe ngumu..
Hii kozi inampa wigo mpana kujiajiri ama kuajiriwa.. iko open. Atafute balance sasa..

You're very correct

Mechanical would sweet his/her choice with multiples of opportunities.
 
I go for Mechanical Engineering kwa kuajiriwa au hata kujiajiri pia bt akakaze haswa
 
Bro,c maanishi cjui nin nitakachokwenda kusomea.But nilkua naulizia kazi yoyote yakufanya wakati huu npo nyumbani kabla ya kuanza chuo.
Kunakazi nilizokua nikifanya lakini cyo za ujuzi so ukiondoka hakuna utakapo patumia kwengine(eg.Car wash)
Hvyo nilipenda kumpata mtu atakaye nisaidia kupatA kazi yakufanya pia na kujifunza
 
Upo ujinga wa kudhani ukiwa unafaulu mitihani unaweza soma chochote. HAPANA.

Tabia na hulka ya mtu ina mchango mkubwa kwenye kuamua taaluma ya mtu. Mtizame kijana maisha na mienendo yake utajua japo kwa kiasi mwelekeo umpasao kwenda.
MIFANO.
1. Kama mtu ni wasafi type , masomo ya ufundi hayamfai.
2. Kama mtu sio mwaminifu, na hana nidhamu ta fedha zake basi masomo ya fedha na biashara hayamfai. Atafungwa bure na atawalaumu.
3. Kama hawe kusoma kwa muda mrefu na hapendi kuchora hapo ufundi babai.
4. Utakuta mtoto hawezi hata kuchinja kuku na anaona kinyaa kila kitu na huku anataka kusimea fani za afya kama uuguzi na udaktari na maabara. Hataweza practical zake japo anaweza faulu darasani.
5 utakuta mtu mfupiii anataka uaskari au ualimu au udereva. Ubao una vipimo vyake hivyo unakuta hata nusu ya ubao hafikii. Wapo watu akikaa vizuri aadjust kiti cha gari vizuri ama haoni mbele au miguu hakanyaji break na clutch vizuri kwa magari yaliyo mengi.
6. Watu wengine ni wenye hasira kali na bado wanasomea kazi za ushauri nasaha wakati wao wanauhitaji.

Mtathmini kwanza kijana kabla ya kumshauri maana wewe ndie uliye nae huko.

Watu wengi hawafurahii kazi walizosomea baada ya kugundua haziendani na uhalisia wao wenyewe.
 
Upo ujinga wa kudhani ukiwa unafaulu mitihani unaweza soma chochote. HAPANA.

Tabia na hulka ya mtu ina mchango mkubwa kwenye kuamua taaluma ya mtu. Mtizame kijana maisha na mienendo yake utajua japo kwa kiasi mwelekeo umpasao kwenda.
MIFANO.
1. Kama mtu ni wasafi type , masomo ya ufundi hayamfai.
2. Kama mtu sio mwaminifu, na hana nidhamu ta fedha zake basi masomo ya fedha na biashara hayamfai. Atafungwa bure na atawalaumu.
3. Kama hawe kusoma kwa muda mrefu na hapendi kuchora hapo ufundi babai.
4. Utakuta mtoto hawezi hata kuchinja kuku na anaona kinyaa kila kitu na huku anataka kusimea fani za afya kama uuguzi na udaktari na maabara. Hataweza practical zake japo anaweza faulu darasani.
5 utakuta mtu mfupiii anataka uaskari au ualimu au udereva. Ubao una vipimo vyake hivyo unakuta hata nusu ya ubao hafikii. Wapo watu akikaa vizuri aadjust kiti cha gari vizuri ama haoni mbele au miguu hakanyaji break na clutch vizuri kwa magari yaliyo mengi.
6. Watu wengine ni wenye hasira kali na bado wanasomea kazi za ushauri nasaha wakati wao wanauhitaji.

Mtathmini kwanza kijana kabla ya kumshauri maana wewe ndie uliye nae huko.

Watu wengi hawafurahii kazi walizosomea baada ya kugundua haziendani na uhalisia wao wenyewe.
Mkuu ww umemaliza kila kitu na Kuna vingine nimevishuhudia live na vingine vimenitokea mimi mwenyewe.
Mimi mwenyewe nililazimisha kusoma Engineering na nikafanikiwa kumaliza.
Sasa kinachotokea nikienda kwenye interview ya kujieleza huwa nafaulu na kwa kishindo na kazi napata.
Lkn kinachonisumbua Sasa ni kwenye huo utendaji wa kazi.
Najikuta muda mwingi napenda kuandika proposal mbalimbali kuhusu mazingira ya kazi,budget, quality and process improvement, management styles recommendations,staff rights,na hivi vitu sijasomea lkn najikuta vinakuja tu vyenyewe kichwani mwangu.
Sasa sijui ningesomea fani gani hapo ili iendane na mimi?
 
Back
Top Bottom