davyventure the great
Senior Member
- Dec 2, 2023
- 131
- 184
Habari zenu Wana JF,
Mimi nahitaji kufahamu kuhusiana na hizo kozi mbili upande wa kuajiriwa na kujiajiri Kati ya radiology na physiotherapy nikianza na radiology naona kwa Tanzania teknolojia Bado ni ndogo ila sifaham sana kwa upande wa mahospitali ambayo Yako Tanzania au nje ya nchi je kunahuhitaji wa Wana radiolojia na hao hao watu wa therapy.
Anayefahamu kuhusu hizo kozi karibu
Mimi nahitaji kufahamu kuhusiana na hizo kozi mbili upande wa kuajiriwa na kujiajiri Kati ya radiology na physiotherapy nikianza na radiology naona kwa Tanzania teknolojia Bado ni ndogo ila sifaham sana kwa upande wa mahospitali ambayo Yako Tanzania au nje ya nchi je kunahuhitaji wa Wana radiolojia na hao hao watu wa therapy.
Anayefahamu kuhusu hizo kozi karibu