Buenos Aires
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,893
- 1,623
Wahindi,waarabu na wachina ni wabaguzi sana. Nashangaa sana NHC mpaka magufuli kasema nyumba zisiwe na wapangaji wa rangi fulani tuu.
Kwake MO kama mfanyabiashara itamletea shida sana hana diversity ndio maana kuna nchi huwezi kukuta wahindi wengi kama westafrica
open your head mkuu, dont argue like a kid, zanzibar wasingepromote diversity kwa sasa ile nchi ingejaa waarabu matajiri na maskini weusiMODS FUTA HUU UZI WA UCHONGANISHI.
Msimpangie JAMANI.HELA ANATAFUTA MWENYEWE MNAMPANGIA WA KUWAAJIRI.kuna Picha imesambaa mitandaoni ikimuonyesha MO akisherekea birthday yake na top executives wake ofisini kwa kukata keki.
Ofcourse, KUKATA keki si habari, ila cha kushangaza ni kwamba katika hao TOP EXECS wote ni wenye asili ya ASIA, hakuna mtanzania mwenye asili ya hapa TANGANYIKA hata mmoja.
Mo seriously?? huna top execs watanganyika asilia?? au hakuna wanao qualify kuwa katika team yako ya juu?? au hukuwaalika kukata keki hata mmoja( i doubt this)
This can not be muted, i thought you where a good man of diversity .......SERIOUSLY
Alokwambia wahindi ni Waadilifu nani?watanganyika ni wezi sana bora awachinjie baharini
Mnawachekea,mie hajatokea mtu wa KUNIBAGUA hapa Bongo,Makanjibhai ni wabaguzi sana wakiwa tz wanabagua ukienda kwao wanabagua
Case Study TFF YA JAH MALIKatika sisi tuliopo hapa nani anayo biashara akamuajiri mtanzania mwenye asili ya Asia?
Hii kawaida sana ukenda ukimkuta mhaya ataajiri posti zote kuu katika kampuni yake wahaya. It's the way it is .ukenda arabuni mambo ni hayo hayo ..sioni la kushangaza
Wabunge wahindi wapo.Mtu mweusi ni kama cobra,si wa kufanya naye mazoea maana ndiye kiumbe anayeongoza kwa ubaguzi duniani!Leo hii si ajabu kuona mbunge mweusi Sweden lakini kuona mbunge mzungu hapa kwetu ni vigumu sana.Maneno atakayokutana nayo ya ubaguzi ni mazito mno!Kwenye BSS tu mlimnyima ubingwa mzungu kichaa japo watu walimpigia kura,halafu wewe unasema nini?
Ambao si weusi hao NDUGUhata ningekuwa mimi management level watanzania weusi ni wezi sana... bora uweke weupe tu
Kuna Mbunge muhindi, anatokea mitaa ya Arusha/Manyara.Hivi huko serikalini kuna muhindi kwenye nafasi za uongozi?
Ndio wahindi ni wabaguzi sana
open your head mkuu, dont argue like a kid, zanzibar wasingepromote diversity kwa sasa ile nchi ingejaa waarabu matajiri na maskini weusi
au mpaka leo Marekani ingeendeleza sheria za waafrika ni inferior and unproductive tusingekuwa na kina Dr curson
Huwezi kusema eti kwa sababu tu kampuni ni yako then ujaze wahindi wenzako na kuwa undermine wasomi weusi.
poor you
kuna Picha imesambaa mitandaoni ikimuonyesha MO akisherekea birthday yake na top executives wake ofisini kwa kukata keki.
Ofcourse, KUKATA keki si habari, ila cha kushangaza ni kwamba katika hao TOP EXECS wote ni wenye asili ya ASIA, hakuna mtanzania mwenye asili ya hapa TANGANYIKA hata mmoja.
Mo seriously?? huna top execs watanganyika asilia?? au hakuna wanao qualify kuwa katika team yako ya juu?? au hukuwaalika kukata keki hata mmoja( i doubt this)
This can not be muted, i thought you where a good man of diversity .......SERIOUSLY
kuwa na rafiki muhindi ni tofauti na kuajili muhindi??