GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,652
- 14,247
Ni muda kiasi nmekuwa na changamoto hii katika mahusiano na brother wangu. Ni watu wa karibu sana tunaopendana mimi ni mdogo wake wa pili. Bro toka ameoa tena kwa kuchelewa kidogo ni miaka miwili na nusu sasa. Mimi nlioa zamani kiasi na nikafanikiwa kuwa na watoto watatu. Wawil wa kiume na mmoja wa kike.
Kaka yangu amehangaika sana kutafuta mtoto. Sana. Na bahati nzuri yeye kiuwezo yupo vizuri so pesa si tatizo kwake. Lakini ameekuwa akiwambiwa kuwa hana uwezo wa kumpatia mwanamke mimba.
Yapata mwezi sasa amekuwa akinifuata na kuniomba nitembee na mkewe nimpatie ujauzito then yeye alee na mkewe. Mara ya kwanza nlidhan amelewa. Haikuwa hivyo. Alikuwa sober kabisa. Akaja akanambia tena kuwa anaomba nimpatie mimba mkewe.
Last week alikuja na mkewe home tukaongea na baadaye akaomba tutoke wote watatu na mkewe tukae tuongee jambo.huko akanambia kuwa wamekubaliana na mkewe nifanye naye mapenzi siku za kupata mimba apate mimba.shemeji yangu alionesha kukubaliana na jambo hili kwa amani kabisa.
Nikawaambia wanipe muda nifikiri.nmefikiria sana nikawaambia kama wapo serious nawapa week moja kila siku wawe wanatuma meseji kila mtu kwangu akisisitiza jambo hilo. Kweli wamefanya hivyo. So limebaki kwangu. Mke wa bro ni mzuri sana tu. Ni mke ambaye hata mimi ngeweza mwoa. So tatizo si mvuto...she is attractive and so sexy. Nawaza hili jambo nifanyeje?
Mke wangu sijawambia. Wazazi hatujawaambia. Ni mimi, bro na shemeji yangu tu ndo tunafahamu
NB: Wadau, mimi ni Mwandishi tu mwenye mkasa ni mtu mwingine.
Kaka yangu amehangaika sana kutafuta mtoto. Sana. Na bahati nzuri yeye kiuwezo yupo vizuri so pesa si tatizo kwake. Lakini ameekuwa akiwambiwa kuwa hana uwezo wa kumpatia mwanamke mimba.
Yapata mwezi sasa amekuwa akinifuata na kuniomba nitembee na mkewe nimpatie ujauzito then yeye alee na mkewe. Mara ya kwanza nlidhan amelewa. Haikuwa hivyo. Alikuwa sober kabisa. Akaja akanambia tena kuwa anaomba nimpatie mimba mkewe.
Last week alikuja na mkewe home tukaongea na baadaye akaomba tutoke wote watatu na mkewe tukae tuongee jambo.huko akanambia kuwa wamekubaliana na mkewe nifanye naye mapenzi siku za kupata mimba apate mimba.shemeji yangu alionesha kukubaliana na jambo hili kwa amani kabisa.
Nikawaambia wanipe muda nifikiri.nmefikiria sana nikawaambia kama wapo serious nawapa week moja kila siku wawe wanatuma meseji kila mtu kwangu akisisitiza jambo hilo. Kweli wamefanya hivyo. So limebaki kwangu. Mke wa bro ni mzuri sana tu. Ni mke ambaye hata mimi ngeweza mwoa. So tatizo si mvuto...she is attractive and so sexy. Nawaza hili jambo nifanyeje?
Mke wangu sijawambia. Wazazi hatujawaambia. Ni mimi, bro na shemeji yangu tu ndo tunafahamu
NB: Wadau, mimi ni Mwandishi tu mwenye mkasa ni mtu mwingine.