Broken hearted


Pole san hat Mimi yalinikuta kama yako but now nishaanza kusahau najichanganya na watu naangalia muv na kuchza gem


Pia epuka kukaa mwenyew na kusikiliza nyimbo za taratibu kama kuna watoto jaribu kua nao karibu ukicheza nao. Yataisha tuuu
Pole sanaaaaaa akikukataaa jua kakuepusha na mengi
 
Last edited by a moderator:
inaonekana watu wengi huku JF wana experience ya kupigwa chini kwenye mapenzi maana mna maneno ya kuhuzunisha sana.
 
Did i ever mention that i mend broken hearts? Well...now i have, make an appointment.

On a serious note, you'll be alright, if you choose to be.
 
usjal ni mapito rafik yangu, kuna kipindi iliwah nitokea hiyo hali ila ilinigarimu mana nilikosa furaha amani na kuona wadada sio. Ila nashukur mungu nilifanya maamuz magumu ya kutorudi mahali pale japo alitaka nirudi mi nikasimamia ukweli kuwa staki kutumika
 
Its the beauty of life girlie.

Someday you will smile and love again.

But for now, just take it easy.
 
Just hit a snage and keep on believing that you have another chance that is TOMMOROW. Kwa upande wangu i had choosen loneliness as my ways of life.. sitaki hata kuwaona mabinti.
 
Daaah mbona kawaida sana, au ndo mara ya kwanza kupigwa chini?? prado
 
Last edited by a moderator:
pole sana, u have to move on:A S-rose: mambo mazuri yako mbele kwa mbele
 
Last edited by a moderator:

Prado, please take note of this.

Kuna mwimbaji wa zamani jina lake Zuhura Swaleh alishaimba 'mtu akikukataa na wewe wamtakiani'

Nimeitafua hiyo nyimbo kwenye youtube ili nikuwekee lakini sikuipata.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…