LD
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 3,014
- 578
Mkuu sasa mbona unataka nifukuzia ndege wangu? hayo mambo ya kuangalia urembo ni ya hawa vijana wa kileo wanaojiita mashalabano, sie zamani tulikuwa tunaangalia tabia. Kwanza mke mzuri ni matatizo tu...
Late Lucky Dube katika wimbo wake wa It's Not Easy alisema hivi, nanukuu, "Beautiful women, is another men's play thing."
So, LD mama niPM plz
Mwanaume ndo ana anza wewe, fuata protocal.