TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,712
- 10,209
Ndo nafika kutoka job, mke wangu yupo ndani na wife, wamegoma kufungua mlango. Nimempigia mama simu huko mkoani, pia naondoka, nahitaji mapumziko na faraja, hakika hiki ni kipindi kigumu sana kwangu.