Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,066
- 4,085
mablaza wengine noma tupu, yaani amekosa wanawake wote mpaka atembee na mke wa mdogo wake.
Wana laana hao
Wana laana hao
Mkuu pole sana ila sio poa kudanganyana, ukipost kwenye Mobile inaonyesha Via Mobile.....,sina laptop natumia mobile, pia siko nyumbani
Naona leo haioneshi, kwani hata nami natumia mobile!Mkuu pole sana ila sio poa kudanganyana, ukipost kwenye Mobile inaonyesha Via Mobile.....,Pole kwa mkasa lakini sio fresh kudanganya...
Ndo nafika kutoka job, mke wangu yupo ndani na wife, wamegoma kufungua mlango. Nimempigia mama simu huko mkoani, pia naondoka, nahitaji mapumziko na faraja, hakika hiki ni kipindi kigumu sana kwangu.
ndugu zangu hapa ndipo unaona mshikaji kweli mambo yamemchanganya, ki ukweli nafikiri alimaanisa kichwa cha habari kilivyo yaani [h=2]Bro yupo chumbani kwangu na wife.[/h]pole Humphnicky bora mumeondoka nyumbani, kwani katika utulivu ndipo utafanya maamuzi mazuri, maji yameshamwagika, tuliasijaelewa hii? mke wako yuko ndani na wife?
We kigogo hujaelewa hapo tu mi mbona sijaelewa thred yotesijaelewa hii? mke wako yuko ndani na wife?
ndugu zangu hapa ndipo unaona mshikaji kweli mambo yamemchanganya, ki ukweli nafikiri alimaanisa kichwa cha habari kilivyo yaani [h=2]Bro yupo chumbani kwangu na wife.[/h]pole Humphnicky bora mumeondoka nyumbani, kwani katika utulivu ndipo utafanya maamuzi mazuri, maji yameshamwagika, tulia
haina haja maandiko matakatifu yanasema visasi tumwachie Mungu, ndio maana nimeondoka home
mtunzi huyo mkuu.... angekua kafumania asingekumbuka JFDuh! Pole sana Mkuu..Kama sikosei siku chache zilizopita ulilalamika hapa kwamba mkeo anamsifia sana ndugu yako hadi ukaanza kuwa na wasiwasi. Kama si wewe basi naomba uniwie radhi.