Wanaume hawahahiki na wanawake wala kujitia presha.Yaani how comes unamuuliza mtu body count (movie zinawadanganya), et baby unanipenda, jamaa yako wa zamani yuko wapi:Mwanaume unapekenyua huku kutafuta nini?? kupekua simu ya mke/mpenzi, kumfuatilia, kumkalia kooni utafikiri wewe ni Baba yake au Mungu wake.Wanaume wa kweli huko hawafiki, let life flow, yaani ugombanie mtu umemkuta kamaliza shule, chuo, wengine yuko kazini?Ujitie presha,unakichaa????
Mimi hata mtu kusikia anasema "Nakupenda" lazima ustuke, upendo wa kweli ni wa wazazi wako tu, wengine wote mtu akisema anakupenda ujue anafaidika na wewe, kuanzia mke hadi watoto.
Pia wanaume tunajua hatuko perfect hata 70%, nje huko lazima kuna wenzako wanakuzidi kitu, kuanzia muonekano, life style, confidence, kujiaminj, pesa, maisha, connections etc..maana yake mkeo anaweza akapata sababu ya kukuacha vizuri tu...ndo maana wazee wa zamani wanasema kitanda hakizai haramu, hawakuwa wajinga, walijua kiumbe chochote cha kike, kuanzia mwanadamu hadi kuku, wanavutiwa na vitu vingi sometimes kidume kimoja hakiwezi kuwanavyo.
Thus ukipigiwa, usipojua, shukuru Mungu, ukijua tumia busara, akiamua mvumiliane maisha yasonge mpaka uzeeni - unashukuru Mungu.
Mimi hata mtu kusikia anasema "Nakupenda" lazima ustuke, upendo wa kweli ni wa wazazi wako tu, wengine wote mtu akisema anakupenda ujue anafaidika na wewe, kuanzia mke hadi watoto.
Pia wanaume tunajua hatuko perfect hata 70%, nje huko lazima kuna wenzako wanakuzidi kitu, kuanzia muonekano, life style, confidence, kujiaminj, pesa, maisha, connections etc..maana yake mkeo anaweza akapata sababu ya kukuacha vizuri tu...ndo maana wazee wa zamani wanasema kitanda hakizai haramu, hawakuwa wajinga, walijua kiumbe chochote cha kike, kuanzia mwanadamu hadi kuku, wanavutiwa na vitu vingi sometimes kidume kimoja hakiwezi kuwanavyo.
Thus ukipigiwa, usipojua, shukuru Mungu, ukijua tumia busara, akiamua mvumiliane maisha yasonge mpaka uzeeni - unashukuru Mungu.