Bring Back Our Money

Bring Back Our Money

quote_icon.png
By FaizaFoxy

Ulitaka upewe umeme wa bure?

Tafuta na wewe mwanamme wa kuishi nae atakutimizia haja zako na utapata umeme wa bure.

lakini hao IPTL hawatoa umeme wa bure.

Kweli sisi wanaume hatuchagui u.... yaan hata kungwi kama wewe una bwana,duhh kweli sisi ni mafagiofagio na unalipiwa umeme yaelekea biashara yako sio mbaya.
 
Mlera mada ameleta mada nzuri tu na kwa watu wanao jibu kistaarabu humu ndani tunajifunza mengi tu, kila mtu ana kitu anacho fahamu na ni vizuri kuchangia. Ufisadi upo kwa nguvu tu hapa nchini, ndani ya ccm na hata hao viongozi wengine wa vyama vya upinzani nao pia walisha chota ya kutosha tu na sijasikia hata mmoja aliesema mimi narudisha nilicho kichukua ''well well hakuna atakaye diriki kusema hivyo''!!
Na kwa hao wasio jibu au kuandika kistaarabu ni vizuri mka waacha tu, hakuna haja ya kuwajibu kwani ukimuongelesha asiokua na akilie hamtaelewana mpaka kesho au milele. Labda kuna siku watajifunZa baada wao kuona wamekua ignored.

Brown nimekusoma sana
 
quote_icon.png
By FaizaFoxy

Ulitaka upewe umeme wa bure?

Tafuta na wewe mwanamme wa kuishi nae atakutimizia haja zako na utapata umeme wa bure.

lakini hao IPTL hawatoa umeme wa bure.
.acha urongo.hujaolewa wewe.ni nungayembe wa lumumba wewe.kama ndivyo basi, umeolewa na le mutuzi
 
M.ala.y.a kama wewe utaanza kuingia kaburini kabla yangu...amini haya niyanenayo

Labda wewe unaogopa, mimi natembea na umauti na kifo ni haki yangu. Wala hilo lisikupe shida. Hakuna Muislam utaemtisha kwa kifo.

Huo umalaya uusemao, uliwahi kumuuliza mama'ko? baba'ko ni nani?
 
Back
Top Bottom