Briefing ya TEC na Rais by Fr. Kitima

Briefing ya TEC na Rais by Fr. Kitima

as long as wamemuita wao, wameumia! kwa akili zilivyo atawachukulai kama ku surrender to her pressure! Let wait and see!
Itakuwa huwajui vizuri hao na mambo ya kanisa , kuna mawili mosi: hiyo ni kama tahadhari na kuepusha lawana for their next move kama wakiendelea kupuuzwa (ninahisi kuna kitu kizito sana mbele ya safari), yaani ni kama kusema ila tulionya na kushauri mapema ………….

Pili: inawezakuwa aliwahitaji ila akawa anaona aibu au kushindwa namna ya kuwaendea, so maaskofu ndio wakaona wajishushe au kujiongeza (msikilize vizuri kitima hapo akifafanua kuhusu kuhusu viongozi kama spikawalioenda kumuona kwake) utaelewa hii point
 
Wanajua tu tende na pilau.
Kuna mtu alikuwa ananiambia kuna sinia za ubwabwa uwa ni special kwa mashehe. Sasa nasikia mtoto mdogo alienda kukaa na kuanza kula kwenye sinia za mashehe bila kujua kuwa hizo sinia ni untouchable...... Mtoto alizabwa vibao hadi akazimia hadi leo mtoto ni kiziwi!!!!
Shehe akiona ubwabwa akili inahama.
 
Itakuwa huwajui vizuri hao na mambo ya kanisa , kuna mawili mosi: hiyo ni kama tahadhari na kuepusha lawana for their next move kama wakiendelea kupuuzwa (ninahisi kuna kitu kizito sana mbele ya safari), yaani ni kama kusema ila tulionya na kushauri mapema ………….

Pili: inawezakuwa aliwahitaji ila akawa anaona aibu au kushindwa namna ya kuwaendea, so maaskofu ndio wakaona wajishushe au kujiongeza (msikilize vizuri kitima hapo akifafanua kuhusu kuhusu viongozi kama spikawalioenda kumuona kwake) utaelewa hii point
Yes, kama una sikio Fr. Kitima ameeleweka vizuri na amesema msimamo wa TEC ni ule ule akawa anaonesha kijitabu nadhani ndio tamko walilotoa November mwaka jana.

Na amekiri ni mara zote wao huomba kuonana na Rais, which ni maturity kubwa sana. (Ni kama alikuwa anasema this is not a big deal kama mnavyotaka ionekane)

Na amekiri wana push uwajibikaji sio kwa mbinu moja tu ya kuonana na Rais…
 
Back
Top Bottom