Brexit imekuwa yenye manufaa kwa nchi za Jumuiya ya Madola

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,595
215,272
Uingereza inaajiri sana sasa hivi, kada ya afya ni wote, kuanzia Doctors, pharmacists, laboratory technicians, nurses, auxiliary nurses n.k.

Kada nyingine ni IT na hospitality.

Hospitali nyingi zinahitaji watu ziko huko mikoani, usiwe na mawazo ya kuishi London, huko Glasgow, Liverpool, Newcastle; sehemu kama hizo hospitali zinaajiri zenyewe.

Baada ya kuwa na qualifications ambazo mara nyingi ni first degree, unahitaji kuwa na unfailing wa mtihani wa Kiingereza.
Kuna mtihani unaitwa Occupational English Test (OET).

Ukifaulu huu visa wana-process wenyewe.

Kwa nchi za SADC wanafanya OET South Africa. Ni ni rahisi ku pass OET kuliko ICTL ya British Council.

Vijana changamkieni ajira.
 
Lakini wanahakikisha wanaoingia wana faida kwa nchi yao. Ni lazima ufaulu OET ili wajue kuwa una uwezo wa kuwasiliana kwa maandishi na kwa kuongea ili upate ajira.

Uzuri wao hawana age limits, hata 50+ unaomba kazi.
Fursa muhimu
 
Wengine wakifaulu OET wanachukua earl retirement, wanakwenda kuanza maisha mapya UK wakati pension inaingia kila mwezi.
 
Uingereza inaajiri sana sasa hivi, kada ya afya ni wote, kuanzia Doctors, pharmacists, laboratory technicians, nurses, auxiliary nurses n.k.

Kada nyingine ni IT na hospitality.

Hospitali nyingi zinahitaji watu ziko huko mikoani, usiwe na mawazo ya kuishi London, huko Glasgow, Liverpool, Newcastle; sehemu kama hizo hospitali zinaajiri zenyewe.

Baada ya kuwa na qualifications ambazo mara nyingi ni first degree, unahitaji kuwa na unfailing wa mtihani wa Kiingereza.
Kuna mtihani unaitwa Occupational English Test (OET).

Ukifaulu huu visa wana-process wenyewe.

Kwa nchi za SADC wanafanya OET South Africa. Ni ni rahisi ku pass OET kuliko ICTL ya British Council.

Vijana changamkieni ajira.
Very useful info Sky Eclat
 
Pakawa,
Lakini wanahakikisha wanaoingia wana faida kwa nchi yao. Ni lazima ufaulu OET ili wajue kuwa una uwezo wa kuwasiliana kwa maandishi na kwa kuongea ili upate ajira.

Uzuri wao hawana age limits, hata 50+ unaomba kazi.
Wapo sahihi kabisa kuingiza watu wenye faida
Wahamiaji weusi wenye Elimu zao ndio watakaofaidika
Siungi mkono wale wazamiaji hawajui kusoma na kuandika ni kupoteza resources za nchi
Kwa sasa hivi itakuwa vigumu kuingia UK kama huna Elimu au sijui mkimbizi
Naamini U.K. will come strong again
 
EU walikuwa wabaguzi Kazi nyingi walipewa weupe hata za ovyo tu
Kuna weusi wengi ambao wako UK legally walipoteza ajira walitengwa
Ubaguzi ulitawala
Nikuulize kidogo, sasa ubaguzi hautafanywa na waingereza?
 
Watabakia kuwa wabaguzi Lakini kutakuwa na unafuu kiasi
Mataifa ya EU kama Poland Romania walijiona bora zaidi kuwabagua weusi ndani ya UK
Mie naona sawa tu Brexit wazungu wa kuja walijawa na kiburi kupitiliza
Aisee
 
Uingereza inaajiri sana sasa hivi, kada ya afya ni wote, kuanzia Doctors, pharmacists, laboratory technicians, nurses, auxiliary nurses n.k.

Kada nyingine ni IT na hospitality.

Hospitali nyingi zinahitaji watu ziko huko mikoani, usiwe na mawazo ya kuishi London, huko Glasgow, Liverpool, Newcastle; sehemu kama hizo hospitali zinaajiri zenyewe.

Baada ya kuwa na qualifications ambazo mara nyingi ni first degree, unahitaji kuwa na unfailing wa mtihani wa Kiingereza.
Kuna mtihani unaitwa Occupational English Test (OET).

Ukifaulu huu visa wana-process wenyewe.

Kwa nchi za SADC wanafanya OET South Africa. Ni ni rahisi ku pass OET kuliko ICTL ya British Council.

Vijana changamkieni ajira.

Tunawakaribisha vijana waliosoma Tanzania ambao hawana kazi Tanzania waje UK tulikuwa tumechoka na hawa vilaza wa EU ambao walikuwa ni bure sana ndio sababu tulim-support sana BJ kwenye kuwafurumusha EU.

Advise fanya kazi kwa juhudi utachukua muda mfupi kupanda grade lakini kumbuka ubaguzi wa rangi upo. Mtu mweupe sio wa kumwamini kuwa macho siku zote usibweteke. Angalia unatengeneza mazingira yako binafsi kujiondoa kwenye umasikini.

BTW nimeongea punde na jamaa anayefanya kazi kwenye sekta ya afya anasema kama umepata hiyo nafasi na hukufanya kazi kwenye hiyo sekta South Africa ukifika huku unachukua udaptation period ya miezi 6. Hiyo sekta ndiyo yenye upungufu sana.
 
Back
Top Bottom