Yeuuuuuwiiiiiiiiii
--------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
TANZANIA HAS REJECTED THE NEWLY APPOINTED JAPANESE AMBASSADOR
KANYAMAVI KAYASHIKA AND HIS WIFE TAKAUCHI KUMAMOTO
DUE TO THEIR NAMES.
Kwa sababu ni wajapani au?, Mbona hatukwaziki na majina ya baadhi ya sehemu maarufu kule visiwa vya Pemba na unguja kama kitongoji maarufu cha mchambawima, kilima maarufu cha kilamanyege na kituo ch a daladala cha kwa mla ndogo? Tena utasikia jibabu kabisa linamwamuru konda eti kwa mla ndogo shushaaaaa!!!!!!
kwani mla ndogo lazima imaanishe hivyo?
Sasa lile kombe la dunia lilifanyika japan na korea . tmu ya ubelgiji ilipangiwa mji wa KUMAMOTO. na kuna mchezaji wa Ubelgiji anaitwa MBO MPENZA
Sasa kuna gazeti la bongo kwenye michezo lienda kwa kichwa cha habari
--------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
tanzania has rejected the newly appointed japanese ambassador
kanyamavi kayashika and his wife takauchi kumamoto
due to their names.
---------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
source: bbc - homepage