Breaking Newzzz!

Breaking Newzzz!

Nokla

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2012
Posts
3,190
Reaction score
1,780
Habari iliyonifikia hivi punde,ni kwamba;
Kuna boti iliyokuwa inatoka Pemba asubuhi ya leo kuelekea Zanzibar, iliyopakia abiria wasiopungua 250 na mizigo ipatayo tani 10, wamefika salama na mizigo yao bandarini.
¤AHSANTE¤
Vipi mbona umeshangaa,ulizani imezama?Sio kila zikizama ndio tuambiane,hata zikifika salama tujulishane jamani!
 
Duh!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Habari iliyonifikia hivi punde,ni kwamba;
Kuna boti iliyokuwa inatoka Pemba asubuhi ya leo kuelekea Zanzibar, iliyopakia abiria wasiopungua 250 na mizigo ipatayo tani 10, wamefika salama na mizigo yao bandarini.
¤AHSANTE¤
Vipi mbona umeshangaa,ulizani imezama?Sio kila zikizama ndio tuambiane,hata zikifika salama tujulishane jamani!

Mkuu hii nadhani umeikopi sehemu....nilishaiona hapa jamvini kabla ya leo!
 
Habari iliyonifikia hivi punde,ni kwamba;
Kuna boti iliyokuwa inatoka Pemba asubuhi ya leo kuelekea Zanzibar, iliyopakia abiria wasiopungua 250 na mizigo ipatayo tani 10, wamefika salama na mizigo yao bandarini.
¤AHSANTE¤
Vipi mbona umeshangaa,ulizani imezama?Sio kila zikizama ndio tuambiane,hata zikifika salama tujulishane jamani!
utoto tu unakusumbua ukikuwa utaacha
 
Eti pemba kwenda zanzibar,we Mulugo kweli!
 
Back
Top Bottom