Breaking News!! No mjadala wa Dowans ITV

Mtego wa Noti

JF-Expert Member
Nov 27, 2010
2,591
1,599
wanaJF, hakutakuwa na mjadala wa Dowans tena ITV kwa sababu ambazo hazijaelezwa!!!
Hii ina maana gani jameni hapo ITV?
Sorce, ITV news
 
wamesoma alama za nyakati kuwa wangeumbuka leo. Nadhani Kikwete ameingilia kati kumuokoa RA
 
wanaJF, hakutakuwa na mjadala wa Dowans tena ITV kwa sababu ambazo hazijaelezwa!!!
Hii ina maana gani jameni hapo ITV?
Sorce, ITV news

Hii yaelekea ni kutokana hela na 'nguvu ya mafia' ya mafisadi wameingilia huko kupitia mkono wa jamaa wa serikali kama kawaida.
si mnajua 'mmiliki halali RA' kajua keshafunga umma bao kwa njia ya kumleta 'mmiliki kanyaboya - Brig Gen. Alawi' ili kufunika kombe?
na wahariri walishalishwa halua ya laki 2 kila mmoja ktk ule mwaliko wa 'mmiliki mpya wa dowans' kuongea na wahariri? hamjui laki 2 ni ili 'ndimi zao ziwe nzito'!, yaani ububu! kwani wa ITV hakualikwa ktk press conference ya media forum? au wamepelekewa memo na bahasha yao? tufuatilieni hili jambo, ni maslahi ya umma kujua ukweli.
 
kwa kitendo hicho ITV imejishushia hadhi katika jamii. itaanza kuonekana kama puppet wa mafisadi. hata heshima ndogo ambayo ITV walikuwa wameanza kujijengea imeporomoka kama barafu kwenye joto kali. shame on ITV
 
Nimekuja nyumbani nakimbia njia nzima nikijua kuwa nawahi mambo mazuri, and you guy despair my heart again.!
Kuna mkono wa mtu katika hili jambo!, si bure
 
hata mm nilishawaambia jamaa zangu wakaangalie tamthilia kwa jiran maana tutakuwa tunaangalia mjadala...halaf wametuboa mno!!!!!! hii rushwa sijui kama itakuja ishe!!!
 
hata mm nilishawaambia jamaa zangu wakaangalie tamthilia kwa jiran maana tutakuwa tunaangalia mjadala...halaf wametuboa mno!!!!!! hii rushwa sijui kama itakuja ishe!!!

Mambo ya Al-Adawi hayo... alisema asipigwe picha ili msimjue, yeye anajulikana kwa vitendo tu na vitendo vyake ndio hivyo vishaanza kuonekana!!:A S 13:
 
Back
Top Bottom