hakuna kenge wala bata atakaebaki milele hapa ulimwenguni kwenye ujingaujinga kibao na matatizo lundo nenda huko ambako atupajui dokta.
Acha kiherehere wewe. Una haraka gani ya kuposti humu jf? Suppose ndugu zake wa karibu hawajapata taarifa? Watu wengine uwezo wa kufikiria upo mwisho wa pua zao!!!