Wikiliki
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 528
- 139
BBC idhaa ya kiswahi itafunga matangazo yake kupitia band ya short wave(SW) mwaka huu. Pia idhaa ya kireno na nyingine nne zinazotanga ulaya mashariki zitafungwa kabisa. Hii inatokana na nakisi (ufinyu) wa bageti wa serikali ya Uingereza. Source: BBC NEWS.