Hapo niwewew tu na browser yako iwe pc au simu
Ushazoea mapanga ya wakorea huwezi elewa hii kitu.Haya mambo nadhani ni namna mtu anavyoona. Baada ya kusikia wadau wakiisifia sana breaking bad, nimeitafuta series zote 5 Ila nimeona ni ya kawaida sana. Kuna episod moja karibu dk 20 jamaa wanakimbizana na nzi kwenye lab yao.
Kama mtu hajaangalia series zifuatazo basi hajafaidi seriesHii series ni kali sana.. uzuri haina yale mambo ya mtu mmoja kupiga kundi la watu 30..
Yaani unaona kabisa maisha ya kawaida..
Ipo kwenye top 10 ya series zangu kali
Ukiwa na akili za kula papuchi tu, hiyo series itakushinda mno!Hiyo niliiangalia hata season 1 sikuimaliza, mapanga mapanga tuu hakuna jipya
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa nimetoka kiangalia kwa mara ya pili nimeimaliza janaWasaalam ndugu zangu,
Mimi ni mfuasi wa tamthilia hasa ambazo watu wanatumia akili nyingi lakini pia zinazozunguzia maisha halisi ambayo jamii tunayoishi inaweza guswa kwa namna moja ama nyingine.
Basi iko ivii Kama hukuwai kuangalia breaking bad basi jua ktk maisha yako ya ungaliaji wa tamthilia(series) basi umekosa kitu cha msingi sana yani ni sawa na wali ukose chumvi hauwezi ukalika.
Kitika hii tamthilia utajifunza mengin ikiwemo,
>unaweza tumia elimu uliyonayo bila kutegemea msharaha ukabuni njia ya kukuingizia pesa km tulivyoona kwa mr white( Heisenberg aka the meth cooker of all time) japo yeye aliitumia kwa njia isiyo sahihi ila aliweza tumia elimu yake ya kemia kupika madawa ya kulevya(blue meth) na kumpa utajiri mkubwa sana unajua kwanini alijiita jina la Heisenberg??!!!...... Hivyo basi wasomi wa vyuo mnaweza tumia elimu mlizonazo mkabuni project mbalimbali za halali mkapata kipato safi.
>wanasheria sometimes wanaweza kuwasaidia waarifu kwa kuwapa ushauri ambao unaweza fanikisha uhalifu ufanyike bila mamlaka za ulinzi kujua km ilivyoonekana kwa bwana "better call saul"(mwanasheria mwenye akili na mipango kuwai kuonekana ivi karibuni).
Better call saul ni mastermind(planner) amenogesha sana breaking bad sometimes nahisi bila yeye mr white kuna baadhi ya mission angelifeli sana,uyu bwana hakuwai shindwa kesi yoyote mahakamani hata km utakutwa na hatia he can defend and clear your mess.
>Jesse Pinkman alikuwa ni mwanafunzi wa kemia wa Mr white kijana aliefukuzwa kwao kwa kutukutu wake lakini hakufeli maisha ya mtaa alipanda kwa kupika white meth na kuuza ili kuweza kuishi mtaa mpk siku alipokutana na mr white na kuongea nae na kupanga kuanza ushirikiano(kupika meth)........alifanikiwa kutemgeneza fedha nyingi sana mpk akaamua kununua nyumba ambayo wazazi wake walikuwa wanaishi kulipa km kisasi maana walimfukuza hapo awali.Funzo kupitia character ya bwana Jesse ni kuwa unaweza ukadrop out shule na ukatoboa ila kwa njia ya halali.......
Nb:nimejitahidi kuelezea juu juu ila maelezo yangu hayatoshi kuelezea hii movie maana ni moto mkali
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha. Sawa mkuu lakini kumbuka huna kibali cha kusema kwa niaba ya watu wote.Ushazoea mapanga ya wakorea huwezi elewa hii kitu.
Imdb na rotten tomato wameipa rate ya juu kuliko series zote zilizopata kutokea tangu mwana wa adamu alipoumbwa. Sembuse wewe mwalimu kashasha
Hakuna kitu kama Game of Thrones, series hiiilivunja rekodi ya kuwa series iliyokuwa inaongeza watazamaji kila season na kuwa series ambayo ilikuw pirated kuliko seriesWasaalam ndugu zangu,
Mimi ni mfuasi wa tamthilia hasa ambazo watu wanatumia akili nyingi lakini pia zinazozunguzia maisha halisi ambayo jamii tunayoishi inaweza guswa kwa namna moja ama nyingine.
Basi iko ivii Kama hukuwai kuangalia breaking bad basi jua ktk maisha yako ya ungaliaji wa tamthilia(series) basi umekosa kitu cha msingi sana yani ni sawa na wali ukose chumvi hauwezi ukalika.
Kitika hii tamthilia utajifunza mengin ikiwemo,
>unaweza tumia elimu uliyonayo bila kutegemea msharaha ukabuni njia ya kukuingizia pesa km tulivyoona kwa mr white( Heisenberg aka the meth cooker of all time) japo yeye aliitumia kwa njia isiyo sahihi ila aliweza tumia elimu yake ya kemia kupika madawa ya kulevya(blue meth) na kumpa utajiri mkubwa sana unajua kwanini alijiita jina la Heisenberg??!!!...... Hivyo basi wasomi wa vyuo mnaweza tumia elimu mlizonazo mkabuni project mbalimbali za halali mkapata kipato safi.
>wanasheria sometimes wanaweza kuwasaidia waarifu kwa kuwapa ushauri ambao unaweza fanikisha uhalifu ufanyike bila mamlaka za ulinzi kujua km ilivyoonekana kwa bwana "better call saul"(mwanasheria mwenye akili na mipango kuwai kuonekana ivi karibuni).
Better call saul ni mastermind(planner) amenogesha sana breaking bad sometimes nahisi bila yeye mr white kuna baadhi ya mission angelifeli sana,uyu bwana hakuwai shindwa kesi yoyote mahakamani hata km utakutwa na hatia he can defend and clear your mess.
>Jesse Pinkman alikuwa ni mwanafunzi wa kemia wa Mr white kijana aliefukuzwa kwao kwa kutukutu wake lakini hakufeli maisha ya mtaa alipanda kwa kupika white meth na kuuza ili kuweza kuishi mtaa mpk siku alipokutana na mr white na kuongea nae na kupanga kuanza ushirikiano(kupika meth)........alifanikiwa kutemgeneza fedha nyingi sana mpk akaamua kununua nyumba ambayo wazazi wake walikuwa wanaishi kulipa km kisasi maana walimfukuza hapo awali.Funzo kupitia character ya bwana Jesse ni kuwa unaweza ukadrop out shule na ukatoboa ila kwa njia ya halali.......
Nb:nimejitahidi kuelezea juu juu ila maelezo yangu hayatoshi kuelezea hii movie maana ni moto mkali
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii series ni kali sana.. uzuri haina yale mambo ya mtu mmoja kupiga kundi la watu 30..
Yaani unaona kabisa maisha ya kawaida..
Ipo kwenye top 10 ya series zangu kali
[/QUOT
Ntajie top three yako kaka niishi nazo
Me toohii nilisikiaga ni nzuri ajabu nikasema ngoja niione 2015 kama sikosei dah nikakutana mambo ya porn live, ushoga na group sex dah nikaishia hapo hapo
Unaijua Strikeback wewe?.Kama mtu hajaangalia series zifuatazo basi hajafaidi series
1. Breaking bad
2. The wire
3. The sopranos
Ukumbuke kuwa game of throne haikuwai kubeba tuzo kipind breaking bad bado ipo hewani.....tuzo zilibebwa baad ya breaking bad kuisha fuatilia......ila breaking bad ni machine hata ukiangalia breaking bad inarate kubwa sana kuliko game of throne.Hakuna kitu kama Game of Thrones, series hiiilivunja rekodi ya kuwa series iliyokuwa inaongeza watazamaji kila season na kuwa series ambayo ilikuw pirated kuliko series
Na recommend uiangalie kwa kutulia sana season1 inaanza kizembe zembe ila hapo mbeleni ndo utaelewa kwann ilikuwa highly rated movie of all time....no game of throne wala cha nan.Ninayo hii breaking bad s1-5 complete
Nikipata nafasi niianze
GOT ni uzinzi tuUkumbuke kuwa game of throne haikuwai kubeba tuzo kipind breaking bad bado ipo hewani.....tuzo zilibebwa baad ya breaking bad kuisha fuatilia......ila breaking bad ni machine hata ukiangalia breaking bad inarate kubwa sana kuliko game of throne.
Sent using Jamii Forums mobile app