kid ink tz
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 307
- 320
Karibuni mapishi ya kibaria
Karibuni mapishi ya kibaria View attachment 1240989
Sina mkuuMkuu huna meza?
Ni hiyo hiyousisahau kupost lunch yako ya usiku.
Km ulikua unajua
😂 😂 😂Hao samaki ukiwala yabidi ulimi uvae MIFUPA PROOF
otherwize utahitajika utafune slowly but sure yani hao samaki
ukiwa unatafuna unatafuna step by step ukitingishika tu ulimi Umekula nchale
acha tu sweetie😂 😂 😂
Why are you this crazy Controller???
Sasa si bora tu usiwakule jamani? Vile navyopenda kula halafu nianze kula kwa wasiwasi? Ama ndo zile za 'born to suffer'!?? 😂 😂acha tu sweetie
hujawahi agiza hao viumbe nadhani
hao mwili wao uko made up with mifupa 81% minofu ni 19% tu
ukila chakula mwanzo mpk unamaliza hujala nchale (utakua na kipaji cha utafunaji)
'born to suffer'!?? 😂 😂
Haha, eti krwichuu, unaonekana una ufundi nao maana siyo kwa hiyo 'eksipiriensi'..!!kumbe unaelewa eeh
hao raia ukiwataka labda uwale wakiwa kau kau wamekaangwa
mpk ukmvunja analia kama clips krwichuuuu hapo ndo kidogo utakula kwa amani
ila ukileta mbwembwe za upishi wa baharia hapo juu bora tu ukila usiwe na haraka
uwe zako mpole kuanzia utafunaji mpk process nzima ya umezaji