Breakfast ya wanaume wa Dar V/S wa Mikoani!!

Breakfast ya wanaume wa Dar V/S wa Mikoani!!

My dinner today....
Hilo ni dona na Mlenda!!!
Endeleeni na chips zenu.
 

Attachments

  • IMG_20160321_135509.jpg
    IMG_20160321_135509.jpg
    71 KB · Views: 31
Wanaume wa Dar!!!? Mbona wametoweka kitambo! Waliobaki ni wale jinsia ya tatu ambayo ndipo ilipogunduliwa. Kuna Wanaume (wapo mimoani), Kuna wanawake na hiyo jinsia ya tatu vijidume (Dar).
 
Waliendaga wapi sasa?

Comrade, hivi 'waliendaga' ni Kiswahili kweli?! Sijui bwana, ila naona vijana wengi siku hizi wanatumia -ga mwishoni mwa karibu kila neno la Kiswahili: 'Alisoma-ga', 'tunatembea-ga', 'wanakula-ga', 'wanapeana-ga; ;tunasoma-ga' na kadhalika na kadhalika. Watangazaji wa TV nao wanasema au kuzungumza hivyo hivyo (kwenye vipindi vyao vingi hasa vile vya majadiliano) kwa kuweka '-ga'. Ni magazeti tu ambayo yanajitahidi kuondokana na '-ga' na hii ni kwa sababu ya 'editors' wao wako makini. Yaani inaudhi kweli kweli. Kiswahili kizuri kwa hoja yako ni 'walikwenda wapi?'. Hakuna Kiswahili cha 'waliendaga wapi'.
 
Comrade, hivi 'waliendaga' ni Kiswahili kweli?! Sijui bwana, ila naona vijana wengi siku hizi wanatumia -ga mwishoni mwa karibu kila neno la Kiswahili: 'Alisoma-ga', 'tunatembea-ga', 'wanakula-ga', 'wanapeana-ga; ;tunasoma-ga' na kadhalika na kadhalika. Watangazaji wa TV nao wanasema au kuzungumza hivyo hivyo (kwenye vipindi vyao vingi hasa vile vya majadiliano) kwa kuweka '-ga'. Ni magazeti tu ambayo yanajitahidi kuondokana na '-ga' na hii ni kwa sababu ya 'editors' wao wako makini. Yaani inaudhi kweli kweli. Kiswahili kizuri kwa hoja yako ni 'walikwenda wapi?'. Hakuna Kiswahili cha 'waliendaga wapi'.
OK, naona wewe unajua kiswahili vema, hivi wewe ulisomeaga wapi? Maana naona walimu wako walikuaga na kazi ndogo sana mkuu!!!
 
OK, naona wewe unajua kiswahili vema, hivi wewe ulisomeaga wapi? Maana naona walimu wako walikuaga na kazi ndogo sana mkuu!!!

Comrade, naona sasa unani-joke. Nilitoa angalizo hilo kwa nia nzuri kabisa. Sikuwa na nia ya kumdharau mtu, naomba radhi kama wako niliowakwaza kwa andiko langu. ....'walikuaga', 'ulisomeaga', mmmh, sina comments.
 
WANAUME WA DARISALAMA HAWAKO VIZURI KATIKA NGUVU ZA KIUME WENGI WANA BOOST NA DAWA ZA KUDINDIA NDIO MAANA WAMASAI KIBAO DAR WAKIUZA BOOSTER. LAKINI MEN WA MIKOA NI NOUMA WANADINDA HATA WAKIWA WANALIMA.
 
WANAUME WA DARISALAMA HAWAKO VIZURI KATIKA NGUVU ZA KIUME WENGI WANA BOOST NA DAWA ZA KUDINDIA NDIO MAANA WAMASAI KIBAO DAR WAKIUZA BOOSTER. LAKINI MEN WA MIKOA NI NOUMA WANADINDA HATA WAKIWA WANALIMA.
We unajuaje namna za udindaji za wanaume mpaka unasimulia kwa ustadi hivi??
 
Vitamini?pilipili[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Mimi sijasema pili pili ina vitamini.

Huoni kuna Limao hapo kwa ajili ya supu?!

Nitajie ingredient 1 tu ya pili pili na kazi zake mwilini bila ku google.

Acha ujuaji wewe!
 
Comrade, naona sasa unani-joke. Nilitoa angalizo hilo kwa nia nzuri kabisa. Sikuwa na nia ya kumdharau mtu, naomba radhi kama wako niliowakwaza kwa andiko langu. ....'walikuaga', 'ulisomeaga', mmmh, sina comments.
Usijali mkuu, si unajua tena hapa ndani stress free?
Tupo pamoja mkuu.
 
Back
Top Bottom