Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 20,028
- 16,150
Ha ha ha naona Dar siku hizi watakuwa wanaishi wanawake tu...wanaume wote tuko mkoaniAha kumbe, ata mimi hivyo hivyo!!!
Ha ha ha naona Dar siku hizi watakuwa wanaishi wanawake tu...wanaume wote tuko mkoaniAha kumbe, ata mimi hivyo hivyo!!!
Hahahahahahaha sio kwa kunichekesha huku asubuhi hii[emoji23] [emoji23]Toka hili sakata zima la wanaume wa Dar lilipoanza[emoji12]
ha hahahaHa ha ha naona Dar siku hizi watakuwa wanaishi wanawake tu...wanaume wote tuko mkoani
Ha ha ha ha tena yeye kasepa vibaya....hadi RwandaNi kweli kabisa, Si unaona ata anko @Magufuli kasepa???
ha itafikia mahala sasa wanaume wote jf watasema wanatokea mkoaUmemsikia Wonderful....eti hadi magufuli kaisepa Dar
mimi sijapata hizo taarifa aisee ila kwa manynyaso haya yawezekana
Kumbe ulikuwa darAha kumbe, ata mimi hivyo hivyo!!!
ongezea na tupogo!Comrade, hivi 'waliendaga' ni Kiswahili kweli?! Sijui bwana, ila naona vijana wengi siku hizi wanatumia -ga mwishoni mwa karibu kila neno la Kiswahili: 'Alisoma-ga', 'tunatembea-ga', 'wanakula-ga', 'wanapeana-ga; ;tunasoma-ga' na kadhalika na kadhalika. Watangazaji wa TV nao wanasema au kuzungumza hivyo hivyo (kwenye vipindi vyao vingi hasa vile vya majadiliano) kwa kuweka '-ga'. Ni magazeti tu ambayo yanajitahidi kuondokana na '-ga' na hii ni kwa sababu ya 'editors' wao wako makini. Yaani inaudhi kweli kweli. Kiswahili kizuri kwa hoja yako ni 'walikwenda wapi?'. Hakuna Kiswahili cha 'waliendaga wapi'.
Experience umeipata wapi kama hawajakuchomeka nao?WANAUME WA DARISALAMA HAWAKO VIZURI KATIKA NGUVU ZA KIUME WENGI WANA BOOST NA DAWA ZA KUDINDIA NDIO MAANA WAMASAI KIBAO DAR WAKIUZA BOOSTER. LAKINI MEN WA MIKOA NI NOUMA WANADINDA HATA WAKIWA WANALIMA.
Kwa hiyo sasa hivi uko chato au musomaNdio, niliondoka na anko @Magufuli