Asante mkuu.Asante sana miongonii mwa watu umeniifurahisha wew mmoja wapo siku ya leo maana nilikuwa modless! I wish kila siku walau ungepost tusingeona Cv threas za watu ambao wanatafuta umaarufu waliokosa nje ya JF! Last i wish if i could be there! Ubariikiwe sana!
Zipo Bongo?
Bei haifiki 30,000 mkuu
Atakae kuuzia atakufundisha jinsi ya kuitumia.
Mkuu ingia mtandao wa aliexpress ziko nyingi tu, ukiagiza unaipata hapa kwa kusubiri wiki 2 hadi 3 inafika tena kwa bei ya kawaida kabisaTunapateje hiyo machine
Bei ya kawaida kama kiasi ganiMkuu ingia mtandao wa aliexpress ziko nyingi tu, ukiagiza unaipata hapa kwa kusubiri wiki 2 hadi 3 inafika tena kwa bei ya kawaida kabisa
Zinauzwa Us dollar 2 hadi 3Bei ya kawaida kama kiasi gani
Asante mkuuZinauzwa Us dollar 2 hadi 3
Pamoja sana mkuuAsante mkuu
Nilidhani unauza mamii, ahsante sana wengine matunda hadi Dr asemeKabisa mkuu, tule kwa afya zetu.
Mumii ninakuelewa, mimi mwenyewe zamani kidogo nilikua ninakohoa sana, dada mmoja aliniambia nile matunda kwa wingi yeye alikua nurse. Kwakweli ilikua dawa na nilijenga tabia kutoka pale.Nilidhani unauza mamii, ahsante sana wengine matunda hadi Dr aseme