Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 31,980
- 95,490
Haha huku me nataka unipunguzie nyama kidogo mweeh. Ila sasa kwa ukiwavi wako utakonda kweli? Hahamie nautaka kwa gharama yyt
Haha huku me nataka unipunguzie nyama kidogo mweeh. Ila sasa kwa ukiwavi wako utakonda kweli? Hahamie nautaka kwa gharama yyt
Huo ni ugali mkuuHilo la brown ni andazi?!
Haha huku me nataka unipunguzie nyama kidogo mweeh. Ila sasa kwa ukiwavi wako utakonda kweli? Haha
hahaha jaman i wish ukae na mm ht siku 1 unione navyokulakula ! yaan mdomo usipokuwa unatafuna tafuna najihisi kaupweke hivi yaan! jana usk nimerud na ndiz ngj nitafune walau 1 ninaposubiria tea
ugali wa kiume.Hilo la brown ni andazi?!
Sawa Dada nimekuelewa..tuendelee kupambana na hali zetuHivi mbona suala la watu wakiongelea kuwa majuu huwa kama inakusumbua!! Hii sio mara ya kwanza naona hilo.
Jose tupambane tu na hali zetu sie tuloishia mpitimbi, watu wanaexposure zao.
Sasa itokee ukajamba hapo.......................
Yaan we mwanamke huna tofauti na wasanii wa temeke, wasanii wa tmk ndio wanaoongoza kwa kupenda kula na mara nyingi kwenye mashairi yao hutaja misosi. Hadi nature alitoa album inaitwa ugalihahaha jaman i wish ukae na mm ht siku 1 unione navyokulakula ! yaan mdomo usipokuwa unatafuna tafuna najihisi kaupweke hivi yaan! jana usk nimerud na ndiz ngj nitafune walau 1 ninaposubiria tea
Nafanya kazi ngumu dadaKilichoharibu mayai ya kizungu,sausage,Vitumbua tatizo mafuta Mengi sana
Sawa mmarekaniWabongo siku mkilaga vizuri au kwenda hotelini ndo mnapigaga picha unafikiri hatuwajui tunawajua sana