Mwelewa
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 2,343
- 3,280
Vizuri hutumii nyama ya nguruwe.aisee nguruwe ni nyama mbaya mnoo !mie nilisomaga sehem nikasema asante Yesu kuzaliwa msabato !mkuu nataman sana kuunga tela !duh 17kms? asalaale! hongera had raha !yaan wewe suala la pumzi kukata utakuwa unalisikia kwa watu tu !na huugui mara nying !ulianza na km ngapi !niojne km nitaweza
Endelea kutumia plant based diet.
Kuhusu kukimbia anza taratibu kwasababu si kila zoezi kila mtu anaweza kufanya.
Nakushauri anza na cardio workouts. Hii itasaidia kuweka viziri viungo na misuli yako
Taratibu anza kukimbia umbali mfupi. Labda kuzunguka kiwanja cha mpira kadiri itakavyoweza.
Mwisho utaona tu pumzi inaongezeka.
17kms siyo nyingi.
Je wanaokimbia marathon 24km?
Jambo zuri kuhusu mazoezi ni kwamba mtu aliyefanikiwa kukimbia Marathon hatokufa kwa magonya ya moyo.