Jamaniii..nini kimetokea hapa!??????
Nimepita maeneo ya Break point ya posta naona kibao cha "Samahani kwa usumbufu" yaani wamefunga kabisa aisee..
Sasa mimi Ijumaa nitajiliwazzia wapi?
Jamani...patafunguliwa lini!??
Karibuni billionaires Club
Pale kuna "Mgongano wa Kimaslahi"
TRA wameifunga ile "bar" kwa kushindwa kutmia mashine za electoniki za kutoa risiti aka EFD : Scenario No1.
Daudi aligombana (most likely alikataa kutoa rushwa)na maafisa wa TRA walikuja kukagua vitabu vyake vya ulipaji kodi : Scenario No2.
Kuna mwekezaji anataka eneo hilo kwahiyo hizo choko choko za TRA ni kwa manufaa ya huyo "Investor" : Scenario No3.
Umenena Mkuu - Na leo kuna "Live Band" ikiongozwa na mutu ya watu - muzee muzima..
Huvi jana nilikuona unarudi ma-buzuki?
Scenario 2: Naikataa...i know Daudi,lol!
Scenario 1 ni reason ya scenario 3 and that is the one I choose to take.
I heard inafunguliwa tena leo...wat a relief it will be!
CAMARADERIE, one day wakati wa mgao nikiwa Mlimani City, kuna kitu very important nilitaka kukiangalia on TBC-1 news, nikazunguka hapo Mlimani City kote tv zao ni dish tuu tena wakibeem ughaibuni. Ndipo nikatoka nje na kutembelea baa baada ya baa zenye genereta, just by chance, ndipo nikaingia Calabash na kuikuta TBC kule TV ya ndani, nikakaa na kuagiza kinywaji, mimi kwa kawaida hutumia 'kasichana' na tonic.Ukitoka Mwenge elekea Ubungo.....zunguka kiplefti cha kwenda savei halafu kama unarudi tena mwenge ukitumia service road mpaka ilipokuwa SILENT INN zamani.....muulize Milton atakuonyesha mamemba
Ukitoka Mwenge elekea Ubungo.....zunguka kiplefti cha kwenda savei halafu kama unarudi tena mwenge ukitumia service road mpaka ilipokuwa SILENT INN zamani.....muulize Milton atakuonyesha mamemba
@Pasco:
Katika PUB "zenye akili" hapa Dar CALABASH ni mojawapo - Milton & Co wanaonekana kuwa na moyo wa kujali wateja - I hope wataendelea hivyo hivyo..
CAMARADERIE, one day wakati wa mgao nikiwa Mlimani City, kuna kitu very important nilitaka kukiangalia on TBC-1 news, nikazunguka hapo Mlimani City kote tv zao ni dish tuu tena wakibeem ughaibuni. Ndipo nikatoka nje na kutembelea baa baada ya baa zenye genereta, just by chance, ndipo nikaingia Calabash na kuikuta TBC kule TV ya ndani, nikakaa na kuagiza kinywaji, mimi kwa kawaida hutumia 'kasichana' na tonic.
Nikiwa naendelea kuangalia TBC huku sijamaliza kinywaji changu, ghafla mhudumu wa vinywaji akaja mezani kwangu na kunishushia 'mzee mzima wa mikono chini', akanijulisha ni offer toka meza fulani!. Ni ustaarabu tuu wa kawaida, ukipigwa offer bar, ujue imetoka wapi na angalau kuonyesha appreciation japo ya asante, ndipo nilipojisogeza meza husika, nikasalimia na kutoa shukrani na ni hapo ndipo mmoja wa wamiliki akajijulisha wako patners na Milton na mimi kupafahamu rasmi hapo.
Huduma ni bomba, chakula nyama choma bomba ila pia ni RV bomba ya kukutana na long lost friends!, sasa nitatinga tena ki jf, jf zaidi.
Thanks.
Mkuu...nitakuwa hapo leo jioni nkitoka job...
ntawajua tu kwa maongezi yenu!!!
Hivi mnaitana majina yenu au haya hapa!?? Mi nikija napayuka tu..Baba Enock..atakayegeuka tu ndo wewe!!!
Mkuu...nitakuwa hapo leo jioni nkitoka job...
ntawajua tu kwa maongezi yenu!!!
Hivi mnaitana majina yenu au haya hapa!?? Mi nikija napayuka tu..Baba Enock..atakayegeuka tu ndo wewe!!!