Break Point..

Break Point..

Wewe njoo muulizie muhudumu anaitwa DIANA mambo yako yatakuwa mswano......ukiita baba enock wanaweza kuja watu kumi

Hahahah...i thot nikiita Baba Enock, alafu nikaita Camaraderie then niite Acid kisha MTM anaeza kuitikia mtu huyohuyo!lol

Poa basi tutamtafuta Diana...kwa hiyo yeye anawajua wote!??

***
Niliskia Paw ni wa kike, inawezekana ndo huyohuyo moderator wenu mpaka huko!??
***
 
Hebu ijumaa hii mpitie migombani pale savei!..nitakuwa karibu na kona ya kushoto pale🙂)
 
mentor mbona imekuuma mzee? Au ulikuwa na kimada pale?

Haha, for one namjua mshkaji mwenye hiyo kitu halafu fununu za kwa nini pamefungwa ndo kilichoniuma zaidi.
Pili, kina dada nanii ndoyo ni marafiki zangu...au kuna shida!?? (conflict of interest!??)
 
Haha, for one namjua mshkaji mwenye hiyo kitu halafu fununu za kwa nini pamefungwa ndo kilichoniuma zaidi.Pili, kina dada nanii ndoyo ni marafiki zangu...au kuna shida!?? (conflict of interest!??)
hakuna bwana, nilijua tu, isingeweza kukupain kiasi hicho, fanya mpango tukapasake penye wa ukweli zaidi ya pale, tutapazoea tu.
 
Back
Top Bottom