Brand New smartphones Kwa Bei nzuri

Brand New smartphones Kwa Bei nzuri

Mkubwa,

inakuwaje simu mpya umezishika mkononi nje ya maboxi yake? na nyingine zimebandikwa ma screen protector tayari kama hiyo samsung, na hiyo iPhone ina ki insignia cha apple kina rangi ya bendera za South Afrika inakuaje hapo? Ni used ama ni mpya unazitoa kwenye boxi unazirudisha?
Habari Mkuu,
Kwanza kabsa ningependa uniwie radhi kwakuwa nimekuwa kimya kwa muda ni kutokana na matatzo ya mtandao kwa huku nilipo kwa sasa. Tigo inasumbua kweli kweli hasa mie ambae natumia simu yenye 4G na 2G tu.

Nikija kwenye maswali yako, kwanza ningependa kujua km kweli unafahamu maana ya neno 'mpya'???
Kama hujui Neno 'mpya' mara nyingi hutumika kumaanisha 'haijawahi tumika' kwa maana hiyo hiyo bas napokwambia simu mpyaa humaanisha ambayo toka itengenezwe haijawahi kutumika na sio kwamba haijawahi shikwa mkononi au ipo sealed.

Sasa tuje kwenye swali lako la msingi, kwnn simu hazipo sealed kwe box na wakat mwingne zinakuwa na glass protector kabsa, kwa ambaye huwa anafuatilia matangazo yangu humu JF nadhani atakuwa shahid kwamba hili swali nimekuwa nikilitolea maelezo ya mara kwa mara.

Kifupi tu ni kwamba kuna sabab za msingi za km urahisi wa usafirishaji, usalama wa mali na pia urahisi wa kufanya matangazo, wateja wengi hupenda kuona mwonekano wa nje wa simu na sio box. Biashara yangu changa na hasa hulenga wateja wa kawaida ambao wengi hawana ujuzi na utaalamu wa simu hivyo huvutiwa saana na mwonekano wa simu yenyewe na sio picha za kwenye box, au maelezo matupu. Kuhusu kuishika mkononi hiyo ni kawaida kabsa..sasa cjui ulitaka niishike wapi? Jaribu kuzunguka kwenye maduka makubwa wanayouza simu mpyaa, maduka unayoyaamini km ukikuta simu zote zipo sealed kwenye mabox, uje na mrejesho hapa utuambie!!

Narudia tena Simu zangu ni mpyaa, na vifaa vyake vyote Original na bora kabsa, kama ikitokea nikawa na mzigo wa simu used bas huwa na waweka wazi wateja wangu.

Natumai umenielewa vyema Mkuu Tindikali...km una maswali zaid nichek 0654776976.

Mkuu, umeingia mitini?

Potential customer nina swali huku, hizo simu ni mpya au ni refurbished?

Simu mpya huwa haishikwi mkononi wala kuning'inizwa ubaoni, wala hazibandikwi urembo wa bendera za South Africa, bali zinakuwa kwenye boxi lake. Na lile box lina kagundi ka plastiki au ka shaba, ukikakata kale ni kwamba simu inaitwa open box, inakuwa kundi la used. Kwa sababu kwa nini ilitolewa kwenye boxi kama sio kwa kutumika?

Tunaomba ufafanuzi.
 
Natumai umenielewa vyema Mkuu Tindikali...km una maswali zaid nichek 0654776976.

Ndio nina swali zaidi lakini kama hujali, je unaweza kujibu hapa hapa kwenye mazingira ya uwazi na ukweli kuliko huko chemba unakoniita nije?

Umesema unaitoa simu kwenye boxi kurahisisha usafirishaji, usalama na matangazo. Kuhusu usalama sijaelewa simu inakuwaje salama zaidi ikisafiri loose loose haija protectiwa.

Anyhow, kuhusu advertisement, umesema nikupe mrejesho wa maduka ambayo simu zote ziko kwenye maboxi. Ni kweli kabisa madukani simu zinakuwa nje ya maboxi kwa ajili ya advertisement lakini kamwe hawakuuzii li simu lile lile limetundikwa juu ya meza mwaka mzima kila mtu anakuja kubonyeza bonyeza, kuijaribu, kuichafua chafua, hiyo inaitwa open box, kundi la USED!

Simu za advertisement hizo hizo we unauza umezishika mkononi, nitajuaje kwamba haijatumika? Kwa sababu hakuna mtu anaeuza simu kama "brand new" kaitoa nje ya boxi! Unaweza kutumia simu miaka miwili ukaifanyia factory reset siwezi kugundua kama imetumika, especially kama ilikuwa ndani ya protection nzuri. Na hata usipotumia protection simu ikipigika kwa nje watu wanabadilisha hizo frame za nje vizuri tu!

Kwa hiyo kaka, simu zako zina ukakasi kwenye "upya," especially kama simu unasema umezimetoa South halafu iphone zenyewe nyuma kile ki apple chake ni cha bendera ya South! Apple toka lini wamebadilisha kile ki insignia chao kikawa cha bendera za nchi? Au ni m-sauzi ashaipigisha sana kwato hiyo iPhone akali dump kwenye soko huria la watu ambao umetuita kwamba hatujui sana simu, yani wewe mwenyewe umentamkia kwamba wateja wako hatuna sophistication na simu, kwa hiyo unataka kutupiga?

Tunaomba maelezo ya kina juu ya ufafanuzi ulioutoa awali.
 
Nipo Moshi mjini. Ntapata huduma ndani ya muda gani nikitaka kuagiza
Ndani ya siku mbili unapokea mzigo wako,
mfano; ukihitaji cm ukakamilisha malipo yako leo asubuhi , jion inapelekwa pale ubongo katka ofisi za mabasi, unatumiwa code namba ya mzigo, asubuhi inapakizwa kwenye Dar Express jioni unapokea hapo moshi kwenye ofisi za bus husika.
Km una maswali zaid nitafute tu kwenye namba hii 0654776976
 
VUNJA BEI: BEI IMESHUKA:Ninauza Smartphones za kisasa, Originals tu kwa bei Poa, mzigo unaingia kutoka South Africa kila week, Simu zote zinakuwa mpyaaa na vifaa vyake, pia ni Guaranteed, kwasasa kuna smartphones zifuatazo:

Sony xperia z3, 16GB@550k
Sony Xperia M4, USA version, 16GB @ 500k
Sony Xperia z5, 32GB @800k
Sony Xperia z5 Premium, 32GB @1.1mil

HTC One M8, 32GB @ 550k
HTC Desire Eye, 16GB @650k
HTC One M9, 32GB @750k

Huawei P8 lite, 16GB @ 400k
Huawei P8, 64GB @ 600k

LG flex 2, 16GB @600k
LG G4 styles, 16GB @600
LG G4 leather backcover, 32GB @650

Iphone 6, 16GB @950k
iphone 6 plus, 16GB @1.3mil
Iphone 6s, 64GB @1.4mil
Iphone 6s Plus, 16GB @ 1.4mil

Samsung S5, 16GB @500k
Samsung S6, 32GB @700k
Samsung S6 edge, 64GB @950k
Samsung S7, 32GB @1.1mil
Samsung S7 edge, 32GB@ 1.35mil
Samsung S6 edge plus, 32GB @1.2mil

Samsung Note 3, 32GB @ 500k
Samsung Note 4, 32GB @ 700k
Samsung Note 5, 32GB @ 1.1mil
.......etc.....
licha ya simu pia nina tablets, ipads, laptops, Camera etc.

[HASHTAG]#Ukihitaji[/HASHTAG] mzigo unaweza kufika ofisini kwangu Kariakoo Pia unaweza letewa ulipo.
# kwa maelezo zaidi unaweza kunipigia au kunitext kwa +255654776976 au kupitia email: vieloon@gmail.com

View attachment 349880View attachment 349881View attachment 349883View attachment 349885View attachment 349886View attachment 349887
9f8091f78bdb9110e16cb579742686a3.jpg
[/QUOT

Mkuu hapa ndio bei umeshusha hatari simu kali ila bei zako ni juu sana.ahsanteh
 
Ninazo mkuu ila kwa sasa sipo Dar...nimesafiri!! Ila km wewe upo Dar na unaweza kufika kariakoo naweza kukuelekeza pa kuipata hiyo betri..nichek kwenye whatsapp

Tafadhali naomba bei ya hiyo betri ya Sony Xperia T2 Ultra.
 
Ndani ya siku mbili unapokea mzigo wako,
mfano; ukihitaji cm ukakamilisha malipo yako leo asubuhi , jion inapelekwa pale ubongo katka ofisi za mabasi, unatumiwa code namba ya mzigo, asubuhi inapakizwa kwenye Dar Express jioni unapokea hapo moshi kwenye ofisi za bus husika.
Km una maswali zaid nitafute tu kwenye namba hii 0654776976
kaka...refurbished i5s 32GB unatoa kwa ngapi kama unayo?
 
Mkuu hapa ndio bei umeshusha hatari simu kali ila bei zako ni juu sana.ahsanteh
We umezoea used si ndio ??[emoji3] [emoji3] ..wahi pale Aggrey ukatapeliwe...maana mjini ukiona unapata kwa unafuu saana usishangae ukawa unapatikana wewe..Siku njema!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom