Brand New smartphones Kwa Bei nzuri

Brand New smartphones Kwa Bei nzuri

Nahitaji betri ya Sony Xperia T2 Ultra original.

Sony Xperia T2 battery4.jpg


Sony Xperia T2 battery3.jpg
 
Mkubwa,

inakuwaje simu mpya umezishika mkononi nje ya maboxi yake? na nyingine zimebandikwa ma screen protector tayari kama hiyo samsung, na hiyo iPhone ina ki insignia cha apple kina rangi ya bendera za South Afrika inakuaje hapo? Ni used ama ni mpya unazitoa kwenye boxi unazirudisha?
 
Mkuu, umeingia mitini?

Potential customer nina swali huku, hizo simu ni mpya au ni refurbished?

Simu mpya huwa haishikwi mkononi wala kuning'inizwa ubaoni, wala hazibandikwi urembo wa bendera za South Africa, bali zinakuwa kwenye boxi lake. Na lile box lina kagundi ka plastiki au ka shaba, ukikakata kale ni kwamba simu inaitwa open box, inakuwa kundi la used. Kwa sababu kwa nini ilitolewa kwenye boxi kama sio kwa kutumika?

Tunaomba ufafanuzi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom