Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Nyie ndiyo mmeassisi hiyio sukuma gang na imeota mizizi sasa msubiri iwatafune na maumivu tu kwenda mbele, kule kenya kabila linaloamua rais wa nchi ni Kikuyu. Sasa Sukuma gang ndiyo itawapangia nani boss wenu. Mpaka sasa wakulima na wafugaji waijua sukuma gang.Nadhani wafugaji unawajua ni naniHuwezi ponya nchi na sukuma GANG, mlifanya uharibifu mkubwa. Trillion mlizoiba ziko wapi. MaCCM yote ni MAJIZI.
hii nchi itapona na katiba mpya..