Habari Wana JF,
Naomba kuuliza swali,
Je, "Boys 2 Men" ndio wazalendo wakubwa wa nchi hii?
Je, ni kwamba "Boys 2 Men" wanaipenda sana Tanzania?
Najenga hoja. Mnaoipenda nchi hii. Tuache u_CCM , u_CHADEMA. Tuulizane.
Je, "Boys 2 Men" ndio mwarobaini wa matatizo ya nchi hii?!
Je, Kuna uhusiano gani kati "Boys 2 Men", na "CCM INA WENYEWE"?
Naomba tuongee kama Taifa la watanzania. Je, nchi hii inamilikiwa?
Tafadhali sana, tuweke makundi ya kisiasa pembeni.
Binafsi nilimponda sana JK, nikamponda sana JPM, na Sasa najiuliza nianze kumponda na Samia? Au kuna tatizo sehemu Mimi sijajua? Nitaponda wangapi?
Nchi hii ni maskini sana. Je, "Boys 2 Men" ndio watakaoipeleka mbele nchi yetu?
Naomba kuwasilisha.
Karibuni tujadili Tanzania yetu ipone na kupaa kimaendeleo.
Naomba kuuliza swali,
Je, "Boys 2 Men" ndio wazalendo wakubwa wa nchi hii?
Je, ni kwamba "Boys 2 Men" wanaipenda sana Tanzania?
Najenga hoja. Mnaoipenda nchi hii. Tuache u_CCM , u_CHADEMA. Tuulizane.
Je, "Boys 2 Men" ndio mwarobaini wa matatizo ya nchi hii?!
Je, Kuna uhusiano gani kati "Boys 2 Men", na "CCM INA WENYEWE"?
Naomba tuongee kama Taifa la watanzania. Je, nchi hii inamilikiwa?
Tafadhali sana, tuweke makundi ya kisiasa pembeni.
Binafsi nilimponda sana JK, nikamponda sana JPM, na Sasa najiuliza nianze kumponda na Samia? Au kuna tatizo sehemu Mimi sijajua? Nitaponda wangapi?
Nchi hii ni maskini sana. Je, "Boys 2 Men" ndio watakaoipeleka mbele nchi yetu?
Naomba kuwasilisha.
Karibuni tujadili Tanzania yetu ipone na kupaa kimaendeleo.