Boyfriend wangu ni mchafu sana

Boyfriend wangu ni mchafu sana

Hahaha huyo nae hajielewi..niaache kukutafuna kwa sababu yakuumwa??

Ungefurahia show na ugonjwa wako ungepona automatically
Kuna watu wanachezea fursa jamani, yani nipo na mtoto Lodge kilichobaki ni kumsaula na kula mchebwede af alete swaga za kuumwa wakati Abdala kichwa wazi kasimama imara🤣🤣🤣???

Nshalipa hela ya Lodge,,,like serious! Hapo ni ubaya ubayani seeee!!! Akija kustuka ana kama vijiko vitatu vya mbegu🤣🤣🤣

Af jamaa wengine wanafeli kweli, manta ndio inabidi aanze kusaulwa milozi na kosti, kisha baharia unachekecha wakati wa romance, mtoto anatakiwa asikie snake man shedo yuko ndina tu. 🤣🤣🤣 mazungumzo baada ya habari
 
Dude, who raised you?
Huyo boy wako hatupishani na mimi, mi ni mchafu pengine hata kumzidi na niko hivyo lakini nina wadada watatu wote wanapigana vikumbo wakitaka niishi nao. Kipindi niko ghetto choo kiko mbali nlikuwa na tabia nanunua mapombe nanywea ghetto nakojoa kwenye chupa za maji naweka uvunguni kipindi hiko dem nae ana ghetto lake akija kwangu anakuta chupa km 10 zimejaa anatoa moja baada nyingine anasafisha ghetto linakuwa saaaafi huyu dem nnae hadi leo na amenpa mtoto, nkapataga dem mwingine wkt naishi ghetto nae nkamuambukiza sbb akawa mlevi km tunanunua wine tunajifungia ghetto tunaweka ndoo mlangoni ya kukojolea, huyu nae hadi leo nnae na amenipa mtoto.
Sasa hivi nina huyu watatu ni msafi sijawahi ona, kila bao lazima aingie bafuni kujisafi ananukia muda wote, baada ya tendo hakuruhusu hadi uoge lkn mi naondoka ivoivo, sivaagi mkanda na soksi ananinunulia soksi na mikanda kila siku, sinunuagi nguo mpya hadi aninunulie yeye. Boxer ndo huwa najali, japo mvivu wa kufua huwa navaa ikichafuka nabadili huwa sifui nanunua nyingine hizi za bei chee.
Akiingia kwenye gari anasema sana gari chafu km ya mzee mi sijali. Mi ni mchafu lkn napendwa hivyohivyo wote hao watatu wanataka ndoa, hizi mvuamvua leo sijaoga siku ya 3 tangu niduu juzi sijaoga! Maisha yanaenda.
 
Wanajificha kwenye kivuli cha u gentleman....yani papuchi unailetea vipi ustarabu?? Nimesikitika sana hadi nimeshindwa kugonga supu yangu hapa[emoji23][emoji23]
Kuna watu wanachezea fursa jamani, yani nipo na mtoto Lodge kilichobaki ni kumsaula na kula mchebwede af alete swaga za kuumwa wakati Abdala kichwa wazi kasimama imara[emoji1787][emoji1787][emoji1787]???

Nshalipa hela ya Lodge,,,like serious! Hapo ni ubaya ubayani seeee!!! Akija kustuka ana kama vijiko vitatu vya mbegu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Af jamaa wengine wanafeli kweli, manta ndio inabidi aanze kusaulwa milozi na kosti, kisha baharia unachekecha wakati wa romance, mtoto anatakiwa asikie snake man shedo yuko ndina tu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787] mazungumzo baada ya habari
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nimecheka hapo kwenye kanga na kikoi
🤣🤣🤣🤣🤣 mie mwenyewe nilishangaa ila badae nikamuelewa, kuna watoto ni wasafi jamani.
 
Kitakacho kufanya usiolewe ni pamoja na hivyo huenda ndio mtego wake huo kwako
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo boy wako hatupishani na mimi, mi ni mchafu pengine hata kumzidi na niko hivyo lakini nina wadada watatu wote wanapigana vikumbo wakitaka niishi nao. Kipindi niko ghetto choo kiko mbali nlikuwa na tabia nanunua mapombe nanywea ghetto nakojoa kwenye chupa za maji naweka uvunguni kipindi hiko dem nae ana ghetto lake akija kwangu anakuta chupa km 10 zimejaa anatoa moja baada nyingine anasafisha ghetto linakuwa saaaafi huyu dem nnae hadi leo na amenpa mtoto, nkapataga dem mwingine wkt naishi ghetto nae nkamuambukiza sbb akawa mlevi km tunanunua wine tunajifungia ghetto tunaweka ndoo mlangoni ya kukojolea, huyu nae hadi leo nnae na amenipa mtoto.
Sasa hivi nina huyu watatu ni msafi sijawahi ona, kila bao lazima aingie bafuni kujisafi ananukia muda wote, baada ya tendo hakuruhusu hadi uoge lkn mi naondoka ivoivo, sivaagi mkanda na soksi ananinunulia soksi na mikanda kila siku, sinunuagi nguo mpya hadi aninunulie yeye. Boxer ndo huwa najali, japo mvivu wa kufua huwa navaa ikichafuka nabadili huwa sifui nanunua nyingine hizi za bei chee.
Akiingia kwenye gari anasema sana gari chafu km ya mzee mi sijali. Mi ni mchafu lkn napendwa hivyohivyo wote hao watatu wanataka ndoa, hizi mvuamvua leo sijaoga siku ya 3 tangu niduu juzi sijaoga! Maisha yanaenda.
Ewaaaaa unajua watu wanakuja kinafki hapa ila kiuhalisia ni wachafu mnoo...

Wewe baharia wa nchi kavu upo vizuri
 
[emoji38]
Sorry mkuu ukweli ni kwamba wewe sio mchafu bali una upungufu wa akili haiwezekani ukojoe kisha uweke mkojo ndani,umeandika siku tatu hujaoga hapo harufu kama mbuzi dume kwa kweli baadhi ya wanawake wana huruma Sana [emoji2][emoji2]
 
Hahaha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna kadem kangu flani kaongeaji sana, kabla sijaenda kwake akawa ananikazia ati kwake hawafiki watu. Kako smart kwa muonekano ila nikahisi katakuwa kachafu sana.

Nikajiuliza sana huyu manzi yeye anajiona nani katika hii maisha hadi baharia nisikanyage kwake. Nikawaza au anafuga mtu nini huko ndani!?

Nikaamua kutumia medani za kisiasa nikatua kwake. Nilipofika sikuamini, demu ni msafi wa mwili na mazingira na anajipenda sijapata kuona. Nikilinganisha na alivyo pini aibu niliona mimi maana hadi kitandani hukalii shuka unatengewa kanga kwanza na mto unawekewa kikoi ili usipakwe mafuta toka kichwani.

Viatu vinakaa nje ili visichafue hali ya hewa na unanawishwa miguu kwanza. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mpaka sasa mie ndio nakwepa asije kwangu sasa.
 
Hahaha si kama beberu tu unatakiwa liteme
Nyie wanaume wachafu mnatupa tabu kwenye Usafiri wa daladala unakuta kidume kashikilia bomba kwapa linatema mbaya akisema afungue mdomo kusalimia harufu unatamani ushuke.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna kadem kangu flani kaongeaji sana, kabla sijaenda kwake akawa ananikazia ati kwake hawafiki watu. Kako smart kwa muonekano ila nikahisi katakuwa kachafu sana.

Nikajiuliza sana huyu manzi yeye anajiona nani katika hii maisha hadi baharia nisikanyage kwake. Nikawaza au anafuga mtu nini huko ndani!?

Nikaamua kutumia medani za kisiasa nikatua kwake. Nilipofika sikuamini, demu ni msafi wa mwili na mazingira na anajipenda sijapata kuona. Nikilinganisha na alivyo pini aibu niliona mimi maana hadi kitandani hukalii shuka unatengewa kanga kwanza na mto unawekewa kikoi ili usipakwe mafuta toka kichwani.

Viatu vinakaa nje ili visichafue hali ya hewa na unanawishwa miguu kwanza. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mpaka sasa mie ndio nakwepa asije kwangu sasa.
[emoji23][emoji23] Aisee hapo kabla hajafika kwako inabidi ufanye usafi madhubuti na upangilie vitu ndani.
Mimi na ubaharia wangu wote nishawahi kufika kwa mtoto pini balaa, lakini ikabidi nipotezee tu kumla. Ndani kuna vyupi vichafu vimezagaa tu , nyingine zimelowekwa kwenye ndoo bafuni, nyingine zimening'inizwa dirishani. Ndani kuna mchanga kama tupo nje [emoji23]. yani tafrani tu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna kadem kangu flani kaongeaji sana, kabla sijaenda kwake akawa ananikazia ati kwake hawafiki watu. Kako smart kwa muonekano ila nikahisi katakuwa kachafu sana.

Nikajiuliza sana huyu manzi yeye anajiona nani katika hii maisha hadi baharia nisikanyage kwake. Nikawaza au anafuga mtu nini huko ndani!?

Nikaamua kutumia medani za kisiasa nikatua kwake. Nilipofika sikuamini, demu ni msafi wa mwili na mazingira na anajipenda sijapata kuona. Nikilinganisha na alivyo pini aibu niliona mimi maana hadi kitandani hukalii shuka unatengewa kanga kwanza na mto unawekewa kikoi ili usipakwe mafuta toka kichwani.

Viatu vinakaa nje ili visichafue hali ya hewa na unanawishwa miguu kwanza. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mpaka sasa mie ndio nakwepa asije kwangu sasa.
Hahaha, mlete kwako tu, mzeee. Upgrade mazingira yako.
 
[emoji23][emoji23] Aisee hapo kabla hajafika kwako inabidi ufanye usafi madhubuti na upangilie vitu ndani.
Mimi na ubaharia wangu wote nishawahi kufika kwa mtoto pini balaa, lakini ikabidi nipotezee tu kumla. Ndani kuna vyupi vichafu vimezagaa tu , nyingine zimelowekwa kwenye ndoo bafuni, nyingine zimening'ing'izwa dirishani. Ndani kuna mchanga kama tupo nje [emoji23]. yani tafrani tu
Baba inabidi ninunue shuka mpya, kila kitu kiwe safi. Yani ni noma mzee baba maana sahivi pasafi ila bado napaona jau🤣🤣🤣...

Sema huyo demu alikuwa chenga sana. Mara nyingi watoto waliodekezwa sana ndo wako hivyo.
 
Hapo ndio kwanza nimeamka

Halafu kuna wajinga wajinga huko wanajisifia kwamba wao ni wachafuu
20191009_130413~2.jpeg
 
Back
Top Bottom