Boyfriend wangu ni mchafu sana

Boyfriend wangu ni mchafu sana

You won't believe it if I tell you.
Kuamini au kutoamini niachie mimi mwenyewe. Muhimu ni kueleza shughuli anayojishughulisha nayo pengine inaweza ikawa ni msaada kwa tatizo lililokukumba.
 
Maisha yana mambo mengi sana!
Lakini wajuvi wanakwambia maisha ni 10% ya kile kinachotokea lakini 90 % ni ya vile utakavyo yachukulia!
Sasa kumbe mleta mada wewe kuishi na mama mkwe toka kijijini ndo hutaweza kabisa!
Kama mwanaume anaekupa Raha na kukutunza ni hivyo Je mama yake mzazi utaweza kustahimili?
Mfano mama mkwe katoka kijijini hajawahi kutumia choo cha kuvuta maji,
Anakuja kwenu na mwanaume wako kila akienda chooni ananawa anaacha kama vilivyo [emoji108][emoji108] nyie ndo mjipange kila akitoka muwahi kwenda ku flash!
Je utaweza kuishi na mama mkwe au baba mkwe wa hivyo?
Au ndo utaanza kumtia ila na kumuanzishia zengwe aondoke?
Mkuu nje ya mada kidogo
Ume olewa??
 
ss Huyo wako anapoishia mm ndo naanzia,hapa naish single room leo n cku ya tatu hakuna chombo kilichooshwa wala dek kupgwa,beg lipo ila nguo zote zpo kitandan,kutandika kitanda mpk niwe na ugeni,tuvumilien tu ndo hulka yetu,ss kama utamwacha mwanaume kisa uchafu tu unaweza kua wife material kwel?ulizen waliooa wanayokutna naya ndan humo
 
ninajamaa uyo alikua hafui boxer nilikua nae geto moko nikamshauri usivae achana nazo hadi saiv hana boxer yoyote anapiga bukta ya mpira tu
 
Kama unamshaurri kitu cha msingi - usafi, anakwambia unampanda kichwani, huyo hakufai, achana naye! Kamka hata kuoga taabu; dah! Nani avumilie vitu kama hivyo?
 
ninajamaa uyo alikua hafui boxer nilikua nae geto moko nikamshauri usivae achana nazo hadi saiv hana boxer yoyote anapiga bukta ya mpira tu

[emoji23][emoji23][emoji23]

Kuna mtu alikuwa anakata kiu akisema:

Eti wanaume wengine wamajua kuvaa kufuli baada ya kufika elimu ya chuo baada ya kuanza kupokea “bumu” [emoji851][emoji851][emoji851]

Kabla ya hapo ilikuwa msambweni [emoji205][emoji205][emoji205]

Mungu anatutoa mbali sana jamani [emoji23][emoji23][emoji23]

Leo hii unakuta mtu ni officer au mheshimiwa fulani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hongera mkuu...una busara sana

Nanyenyekea [emoji119]

Lakini haikuwa rahisi , ni kwa kukubali na kuwa tayari kujifunza mapya kila siku, kabla ya hapo nilikuwa mtu wa kuishi kwa logic na kuhoji hoji mambo kadha wa kadha, wakati mwingine unaishia kuona makwazo tu kila wakati lakini kumbe nilikuwa niko kwenye ujinga fulani,

Kwa Neema ya Mwenyezi Mungu nilipokubali kujifunza nikaanza kupata maarifa, na hata sasa naendelea kujifunza!

Yani nimeanza kuwafahamu wanaume walau kwa sehemu,

Nimejifunza kupuuza baadhi ya mambo nikipima nakuona hayana madhara ktk kuyapuuza,

Nimejifunza kuahirisha mambo ambayo yanaweza kuahirishwa n.k

Naendelea kujifunza kila iitwapo leo!

Huwa nafanya provision huenda kuna mambo muhimu sijayafahamu ipasanyo kuchukuliana nayo, hiyo inanipa utayari wa kujifunza na kubadilika!
 
Nanyenyekea [emoji119]
Lakini haikuwa rahisi , ni kwa kukubali na kuwa tayari kujifunza mapya kila siku, kabla ya hapo nilikuwa mtu wa kuishi kwa logic na kuhoji hoji mambo kadha wa kadha, wakati mwingine unaishia kuona makwazo tu kila wakati lakini kumbe nilikuwa niko kwenye ujinga fulani,
Kwa Neema ya Mwenyezi aLMungu nilipokubali kujifunza nikaanza kupata maarifa, na hata sasa naendelea kujifunza!
Yani nimeanza kuwafahamu wanaume walau kwa sehemu,
Nimejifunza kupuuza baadhi ya mambo nikipima nakuona hayana madhara ktk kuyapuuza,
Nimejifunza kuahirisha mambo ambayo yanaweza kuahirishwa n.k
Naendelea kujifunza kila iitwapo leo!
Huwa nafanya provision huenda kuna mambo muhimu sijayafahamu ipasanyo kuchukuliana nayo, hiyo inabipa utayari wa kujifunza na kubadilika!
Tatizo wanawake wa sasa ukiwaambia utii hawataki.
Wanataka wamkute mwanaume ana kila kitu
Wamkute mwanaume perfect kwenye mambo yake.
Wanafananisha maisha ya movie na uhalisia wa africa.
Though wanaume tuna mapungufu yetu ila wanawake ni zaidi yetu kwenye baadhi ya mambo
 
Wewe mleta mada mwenyewe ukute uko na kasoro zako nyingi ikiwemo ya kutojua kupika [emoji108][emoji108]

Unajua kupika mchezi wa nazi wewe?
Unajua kuunga nyama au kuku wa nazi ikatulia?

Unajua kupika dagaa la chukuchuku wewe hadi bwana ajiume vidole?

Hahahaaa [emoji14][emoji14][emoji14][emoji14]

Halafu wewe utakuwa watokea kule kunakopikwa “machalali” kama sijakosea [emoji12][emoji12]

Samahani kwa kukukatia kiu mwaya usikwazike!

Take it easy!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yajayo yanafurahisha hilo ndo ghetto la kiume
 
Tatizo wanawake wa sasa ukiwaambia utii hawataki.
Wanataka wamkute mwanaume ana kila kitu
Wamkute mwanaume perfect kwenye mambo yake.
Wanafananisha maisha ya movie na uhalisia wa africa.
Though wanaume tuna mapungufu yetu ila wanawake ni zaidi yetu kwenye baadhi ya mambo

Kweli kabisa!

Na sijui kwanini jukumu la kujenga au kubomoa nyumba limeachwa mikononi mwa mwanamke!

Mungu alituumba wote yeye anatujua na ndiyo maana akaandikwa kuwa “ mwanamke mwema huijenga nyumba yake mwenyewe na mwanamke mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe “ [emoji108][emoji108]

Ni maneno magumu na mazito hayo ktk kuyatafakali!

Na hata ukija kwenye uhalisia na maisha ya kawaida hivyo ndivyo vilivyo!
 
Najua mtanitukana na kunisema eti ni kazi ya mwanamke kumuweka mwanaume sawa lakini hapa nimenyanyua mikono, isiwe kesi bora tuachane tu.

Nimekua katika haya mahusiano mwezi wa 8 sasa, mwanzoni nilikua sijamuelewa sana huyu jamaa na tabia yake lakini yamenifika kooni.

I'm not the cleanest person lakini huyu mwanaume ni mchafu jaman. Akioga usiku kabla ya kulala asubuhi haogi.

Hata kama nikimsema yani analala na mwanamke usiku asubuhi anaenda kazini hivyo hivyo. Chumba chake ndo kichafu usiseme. Kuna wakati nilisafiri nikaenda mkoa mwingine kama mwezi hivi kurudi chumba hakitamaniki.

Nikaona isiwe shida nikamsafishia. Ikawa kila weekend nikienda nasafisha. Nilipata ugeni sikuweza kwenda kwake kwa takribani wiki mbili, mungu wangu siku nilioenda ni kama pamepigwa bomu! Sahani aliolia chakula siku kama 3 zilizopita zipo humo, machupa ya maji, maganda ya ndizi.

Hapo kitandani ndo usiseme. Ana jiko na sebule lakini viombo vimejaa chumbani. Yani nikaona hii ni tabia yake.

I can't do this anymore. I'm like his house girl.hata mama hamlei mtoto wake hivi.Mwanaume haambiliki. Nikishauri ajitahidi usafi anasema nampanda kichwani( Male ego).

Sijaenda kwake wiki sasa I know nikienda huko huo uchafu ntakaokutana nao sina hamu.

He's a good guy lakini hii tabia yake imenishinda. Bora yaishe tu.

Kina dada mnaishije na hawa viumbe?. Huyu kanishinda
Mtu smart haiwezekani ukutane na mtu mchafu ni ngumu huyo ndio size yako.
Lakini kama wewe unavaa mawigi na kubandika kucha na kope nyote hamna tofauti vumilaneni tu.
 
Tatizo wanawake wa sasa ukiwaambia utii hawataki.
Wanataka wamkute mwanaume ana kila kitu
Wamkute mwanaume perfect kwenye mambo yake.
Wanafananisha maisha ya movie na uhalisia wa africa.
Though wanaume tuna mapungufu yetu ila wanawake ni zaidi yetu kwenye baadhi ya mambo

Halafu kwenye Maandiko Matakatifu imeandikwa @ “
mke na amtii mume wake kwa kila jambo “

Yani kwa kila jambo imagine [emoji87][emoji87][emoji87]

Na bila msaada wa Roho Mtakatifu kumtii mume kwa kila jambo ni mtihani kwa kweli!

Na Mungu anamana yake nzuri tu na ni kwa faida yetu wenyewe!

Yeye anajua kwanini mke anapaswa kumtii mume kwa kila jambo!

Na ni agizo siyo hiyari!

Yani lazima siyo hiyari.

Isipokuwa nazani itakuwa imekaa vizuri mke akipata mwanaume anajua kusimama kwenye zamu yake,

Lakini akiwa mwanaume mhuni mhuni tu asiye na hofu ya Mungu hapo hata akimtii kwa kila jambo itakuwa sawa kweli?!

Though hakuna provision kwamba labda mke amtii mume mwenye akili tu, no Neno limeandikwa Mume bila Kujali yukoje!
 
Najua mtanitukana na kunisema eti ni kazi ya mwanamke kumuweka mwanaume sawa lakini hapa nimenyanyua mikono, isiwe kesi bora tuachane tu.

Nimekua katika haya mahusiano mwezi wa 8 sasa, mwanzoni nilikua sijamuelewa sana huyu jamaa na tabia yake lakini yamenifika kooni.

I'm not the cleanest person lakini huyu mwanaume ni mchafu jaman. Akioga usiku kabla ya kulala asubuhi haogi.

Hata kama nikimsema yani analala na mwanamke usiku asubuhi anaenda kazini hivyo hivyo. Chumba chake ndo kichafu usiseme. Kuna wakati nilisafiri nikaenda mkoa mwingine kama mwezi hivi kurudi chumba hakitamaniki.

Nikaona isiwe shida nikamsafishia. Ikawa kila weekend nikienda nasafisha. Nilipata ugeni sikuweza kwenda kwake kwa takribani wiki mbili, mungu wangu siku nilioenda ni kama pamepigwa bomu! Sahani aliolia chakula siku kama 3 zilizopita zipo humo, machupa ya maji, maganda ya ndizi.

Hapo kitandani ndo usiseme. Ana jiko na sebule lakini viombo vimejaa chumbani. Yani nikaona hii ni tabia yake.

I can't do this anymore. I'm like his house girl.hata mama hamlei mtoto wake hivi.Mwanaume haambiliki. Nikishauri ajitahidi usafi anasema nampanda kichwani( Male ego).

Sijaenda kwake wiki sasa I know nikienda huko huo uchafu ntakaokutana nao sina hamu.

He's a good guy lakini hii tabia yake imenishinda. Bora yaishe tu.

Kina dada mnaishije na hawa viumbe?. Huyu kanishinda
Kama umeshindwa kuvumilia hayo
Utaweza kuvumilia kumsuburi yesu kweli?
 
Vipi chumvini kusafi kwali? Au ndio hivyohivyo. Manake huko chini Kuna harufu Sana. Hasa kwenye kengele
Kweli hapa duniani kuna mwanaume ananuka mbupu ? Kuna vitu mi huwa naona ni uongo ,mara mabinti nao husema sperm hunuka,mi siamini
 
Najua mtanitukana na kunisema eti ni kazi ya mwanamke kumuweka mwanaume sawa lakini hapa nimenyanyua mikono, isiwe kesi bora tuachane tu.

Nimekua katika haya mahusiano mwezi wa 8 sasa, mwanzoni nilikua sijamuelewa sana huyu jamaa na tabia yake lakini yamenifika kooni.

I'm not the cleanest person lakini huyu mwanaume ni mchafu jaman. Akioga usiku kabla ya kulala asubuhi haogi.

Hata kama nikimsema yani analala na mwanamke usiku asubuhi anaenda kazini hivyo hivyo. Chumba chake ndo kichafu usiseme. Kuna wakati nilisafiri nikaenda mkoa mwingine kama mwezi hivi kurudi chumba hakitamaniki.

Nikaona isiwe shida nikamsafishia. Ikawa kila weekend nikienda nasafisha. Nilipata ugeni sikuweza kwenda kwake kwa takribani wiki mbili, mungu wangu siku nilioenda ni kama pamepigwa bomu! Sahani aliolia chakula siku kama 3 zilizopita zipo humo, machupa ya maji, maganda ya ndizi.

Hapo kitandani ndo usiseme. Ana jiko na sebule lakini viombo vimejaa chumbani. Yani nikaona hii ni tabia yake.

I can't do this anymore. I'm like his house girl.hata mama hamlei mtoto wake hivi.Mwanaume haambiliki. Nikishauri ajitahidi usafi anasema nampanda kichwani( Male ego).

Sijaenda kwake wiki sasa I know nikienda huko huo uchafu ntakaokutana nao sina hamu.

He's a good guy lakini hii tabia yake imenishinda. Bora yaishe tu.

Kina dada mnaishije na hawa viumbe?. Huyu kanishinda



You can change him.Jaribu kumpangilia what to wear vile vile jaribu kumuelekeza jinsi ya kupanga chumba slow slow ataelewa. Kwa upole na kwa mapenzi ataweza tu dada. Ila mi natoa tu ushauri lakini kukaa nae mi menyewe i cant😂
 
Back
Top Bottom