Box la kuflashia simu nitapata wapi kwa dar

Box la kuflashia simu nitapata wapi kwa dar

DUMEGUY

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2014
Posts
499
Reaction score
206
Mambo vipi nilikua naulizia kama kuna mtu humu anielekeze mahali nitapata box la kuflashia simu kwa dar brand new, maeneo gani wanauza na shingapi
 
Kuna mabox aina nyingi Sana unatakiwa kwanza uangalie Eneo ulilopo je ni simu aina gani na zenye shida gani zinapatikana,mfano kwa hapa kwetu Tanzania tecno na Itel kwa sasa ndio nyingi kuliko zingine,kuna boxi Kama aina mbili ambazo Fanya kazi nyingi hapa kwetu ni volcano na miracle box Kama upo hapo dar nenda aggrey uliza naheem utapata
 
Mim na crack ya Miracle Box inaflash na kuunlock sim nying znazotumia usb vile vile na crack yenye 5 in 1 insoftware ya kuflash samsung, sony sim zote za kchina pia ntakupa maelekezo ya kuztumia mabox yanaenda yakipitwa na wakat watu wanacrack tu ckuiz kwa maelezo zaid waweza nichek 0718823809
 
mkuu box zote duniani nafkiri zina crack, kama upo serious sana nakushauri nunua box sababu ni bora zaidi kama unajua unalolifanya unaweza download crack zake ila jua haya

-crack ni kama virusi ant virus zinadaka file la crack unatakiwa ujue kuzima ant virus na kueka exception ant virus isi scan folder ambalo utaeka mabox yako ya kucrack
-crack za box huwezi ku update, kukitokea tatizo jipya utapata software update ya box lakini ukiwa na crack version itabidi usubirie hadi software mpya nayo iwe cracked hivyo fundi mwenzako mwenye box la kweli anaweza kukupita kwa kazi fulani.

kama unataka nitajie box unazozitaka nitakuekea links zake
 
mkuu box zote duniani nafkiri zina crack, kama upo serious sana nakushauri nunua box sababu ni bora zaidi kama unajua unalolifanya unaweza download crack zake ila jua haya

-crack ni kama virusi ant virus zinadaka file la crack unatakiwa ujue kuzima ant virus na kueka exception ant virus isi scan folder ambalo utaeka mabox yako ya kucrack
-crack za box huwezi ku update, kukitokea tatizo jipya utapata software update ya box lakini ukiwa na crack version itabidi usubirie hadi software mpya nayo iwe cracked hivyo fundi mwenzako mwenye box la kweli anaweza kukupita kwa kazi fulani.

kama unataka nitajie box unazozitaka nitakuekea links zake
Volcano kaka
 
Volcano ulipie na activation PAC ya mirap
 
Back
Top Bottom