Africa is not monolithic.Mtu akikwambia ukweli wa jinsi ulivyo, sio mbaya bali anataka ujitambue. Huwezi kukata kwamba Afrika sio "shithole" wakati tunapokea mitumba hata ya nguo za ndani ambazo kwao wanatupa kwenye shimo la taka!
Your name is a "SHIThole"AFRICAN COUNTRIES ARE SHIT HOLES
Katuambia ukweli kuwa?Huyu mtu katuambia ukweli sioni kwann tunatoka povu.tujipange tuinue bara letu kiuchumi kwan study zinaonyesha tunaweza kujikwamua.kama bajeti ya jiji la birmingham linazidi mar dufu bajeti ya nchi ya Tanzania ,kwann matusi hayo yasiwe chachu ya kufanya kazi kwa bidii zaidi sote kwa pamoja ili tufike huko Malyasia walikofika ?
Trump yuko sahihi kwa maneno yake mengi,hasa hawa wakoloni weusi ndo wametuleta laana hii ya umasikini kwa ubinafsi wao waliichukua Africa toka kwa wakoloni weupe ikiwa inastawi kiuchumi,wamezivuruga nchi zao kiuchumi toka juu kuja chini.Neno Demokrasia ni mwiba mchungu sana kwa hawa wakoloni weusi.Utakuta huyo raisi wa botswana alikuwa na mpango wa kubadili katiba ili aendelee kutawala,maana marais wengi wa Africa ni 'ma'shithole aswaaa.
Km Gaddafi anavamiwa anauwawa na wako kimya kwanini wasiitwe shithole![]()
Kungekua na maraisi watano kama wa botswana TRUMP angonyooka na kuona waafrika wa sasa sio wale waliochukuliwa utumwa
Huwezi kuziita Africana country "shithole" halafu baadhi ya maraisi wanakaa kimya yaani kwa kiswahili cha kawaida "nchi za africa ni shimo la choo" huyu TRUMP lazima apimwe akili
Babu mbona umewaka sana, au na wewe ni sehemu ya serikali zetu zinazotufanya tutukanwe?Trump ni sawa Na kibamia cha Yule celeb asitutishe
Atawaachaje wakati mnaanzisha vita wenyewe kwa wenyewe, au mnaharibu uchumi wenu then mnakimbilia kuomba uhamiaji kwenye nchi yake ambayo wananchi wake wameitaabikia kuijenga?Trump atuache na Africa yetu.na maisha yetu.
mbona mwaka 2015 mliitwa MALOFA mkanywea tena hapahapa nyumbani kwenu.Je Trump mtamfanya nini.Africans should be recolonizes for another 100 years aisee ile tujirekebishe.
Ni mim SHITHOLE (DODOMA)
Kwa sasa Zanzibar
Bwahaha
Ulishawahi kujiuliza silaha zinatoka wapi?Atawaachaje wakati mnaanzisha vita wenyewe kwa wenyewe, au mnaharibu uchumi wenu then mnakimbilia kuomba uhamiaji kwenye nchi yake ambayo wananchi wake wameitaabikia kuijenga?
Kama mtu akikuita mbwa wewe utapambana kujibishana naye? Narudia tena ukijibishana na mwendawazimu wewe ndio utaonekana mwendawazimu! Labda kama kuna ka ukweli ndani yake! Kama wanakuja kwenye 'shithole' maana yake wao ndio 'shit' haswaa!Kuna ujumbe wa Bunge la Marekani unaenda Botswana.
Watu wameuliza, kama huku ni shuthole wanakuja kufuata nini?
Wafanyabiashara wa Marekani kibao wako Gabirone wanafanya biashara ya almasi.
Gaborone Botswana kuna soko la kimataifa la almasi.
Wanaukiza, na hapa napo ni shithole?
Kama ni shithole mnafuata nini?
Utasemaje haya ni maswali ya kupoteza muda wakati yana mantiki na yanahoji kauli za rais wa Marekani?
Hapa suala si mtu kukuita mbwa na wewe kupambana naye.Kama mtu akikuita mbwa wewe utapambana kujibishana naye? Narudia tena ukijibishana na mwendawazimu wewe ndio utaonekana mwendawazimu! Labda kama kuna ka ukweli ndani yake! Kama wanakuja kwenye 'shithole' maana yake wao ndio 'shit' haswaa!
Sawa.Acha kuwa na akili za kushikiwa eti”tutawaliwe laiti kama ungejuwa babu zetu walivyoteswa na kupigania kuwa huru mpuuzi kama wewe usingeongea haya.Ungetawaliwa leo unadhani ungepata hata muda wa kutoa mashudu yako jf,ungekuwa shamba unalima
Na huyu mwingine mnasema hayohayo!Trump ni mgonjwa muda mrefu!