Boti linawaka moto bahari ya Hindi

Boti linawaka moto bahari ya Hindi

fangfangjt

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2008
Posts
571
Reaction score
139
ITV Breaking News:Jahazi inayosadikiwa ni ya wavuvi iliyokuwa na takribani watu 30 inateketea kwa moto katika bahari ya Hindi eneo la Mtukule.Mashuhuda wamedai abiria wanajitupa majini
 
teeeeh ....nchi hii bana...yaani majanga mwanzo kati mwisho..sasa hawa wanajitupa majini kukwepa moto majini sasa wanajua kuogelea au wanajitupa tu !!!! poleni abiria mnaojitupa majini
 
Utaskia huko nako baharini Faya wameishiwa maji.
 
mungu awasaidie waokolewe, polisi wapeleke helikopta ikasaidie kuzima moto
 
chopa ya polisi sijui kama itaweza fanya kazi ya kuokoa
 
teeeeh ....nchi hii bana...yaani majanga mwanzo kati mwisho..sasa hawa wanajitupa majini kukwepa moto majini sasa wanajua kuogelea au wanajitupa tu !!!! poleni abiria mnaojitupa majini

Kinachokufurahisha sasa?
 
itamalizikia uko hedkopta zetu ni kwa ajili ya matembezi ya wakuu wa mageshi wakienda mashambani kwao!!
mmh afu nmekosea iv tuna hedkopta au meli ya zimamoto??
mashangingi yapo msiulize
 
Another test for our emergency response. Mungu awe nasi...
Well said Mwali.
Vyombo vyote vya majini vinatakiwa kuwa na gadgets za kutransmit distress signals, at least signal hizo zingeweza kupokelewa na boat au meli iliyopo jirani na hapo, kabla hata Emergency responding team haijafika eneo la tukio.
 
Last edited by a moderator:
Wavuvi ama ndio hizo boti zinaingiza unga??
hao waliojitupa majini inakula kwao maana mpk boti za uokoaji zifike si leo
 
Kila mtu aliyesikia habari hii na aombe ili ndg zetu wawe salama, Mungu tusaidie
 
Well said Mwali.
Vyombo vyote vya majini vinatakiwa kuwa na gadgets za kutransmit distress signals, at least signal hizo zingeweza kupokelewa na boat au meli iliyopo jirani na hapo, kabla hata Emergency responding team haijafika eneo la tukio.

Juzi tu ile building ilipo waka moto niliuliza what lessons have we learned from past incidents? Lazima kuwe na leaening curve jamani. Watu wanakufa kila siku kwa kosa lilelile. Mi nilisoma kua kila ajali inahepukika na kama ni kitu kisicho kwepeka (say earthquake) basi lazima kujenga resiliance. Sisi tunajenga acceptance. Such a shame!
 
Last edited by a moderator:
majanga hayo' Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema tunaomba okoa nafsi za hawa nduguzetu. Amina.
 
hamna mwana jamvi mwenye Up date na hiyo ishu........ hata picha ikiwezekana.

na hivi vikosi vyetu vya Kazi za Dharura, cjui kama dhana za kazi za kisasa wanazo ??
 
Back
Top Bottom