mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
Wale wa taasisi za fedha kuanzia 2011 hadi sasa, tuwe tuliacha kazi, tulibadilisha kazi au bado tupo kazini tunahusika huku.
Hakuna kitu kizuri kama kufuata sheria, kanuni na taratibu. Maana usipozifuata sheria na taratibu bila shurti zitakuja kukuadhibu bila taarifa.
Maendeleo hayana vyama.
Mungu ibariki tanzania
Hakuna kitu kizuri kama kufuata sheria, kanuni na taratibu. Maana usipozifuata sheria na taratibu bila shurti zitakuja kukuadhibu bila taarifa.
Maendeleo hayana vyama.
Mungu ibariki tanzania