1. Almost all banks haziweki "wazi" gharama za kufanya miamala kutoka benki akaunti kwenda kwenye mitandao ya simu and vice versa. Inabidi gharama hizi ziwe wazi na si za kutafuta kama sindano. Kwanini zisiwekwe kwenye website zao? Wanaficha nini?
2. ATM mara nyingi zinakuwa hazina risiti! Risiti inasaidia kujau balance yako unapomaliza muamala wa kutoa hela kwenye ATM
Ni hayo kwa leo.
2. ATM mara nyingi zinakuwa hazina risiti! Risiti inasaidia kujau balance yako unapomaliza muamala wa kutoa hela kwenye ATM
Ni hayo kwa leo.