Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Wana JF,
Naja tena na muswaada huuu wa Pesa Mpya ambazo BOT walizi pigia debe sana kuwa ni za ubora na kiwango cha hali ya juuu saana na sio rahisi kughushi hizo pesa mpya.
Mbali na hilo BOT walitangazia Bank zote za hapa nchi kuwa wahakikishe wame badirisha Cassette za ATM (zamani) na waweke mpya hizo Cassette za ATM ile ziweze ku load pesa mpya na zoezi hili lilifanyika vyema ila cha ajabu nashindwa elewa kila nikienda kwa ATM kutoa pesa still pesa zatoka mchanganyiko mara za zamani na mpya.
Nika pata muda ni kaweza mhoji mfanya kazi wa Bank Mmoja vipii kulikoni mbona siku hizi ninaona pesa za zamani ndizo zatumika sana kuliko mpya ??? akanidokeza akasema bwana eeeeh hawa BOT walichemka sana hizo pesa mpya zina matatizo kumbe ni zachakaaa haraka sana kuliko pesa za zamani, Khhhhaaaa nika staahajabika sana sasa Pro: Benno Ndullu alikuwa anajigamba nini ???? sasa huyu bwana akaniambia hapo BOT inaingia gharama nyingine tena kuzirekebisha hizo pesa which means ni kuzichapa tena upya na hili BOT wamekaaa kimya kumbe wanalifanya kwa siri.
Nchii hiii jamani dhuuuuuu!!!!!
Karibuni kuchangia Hoja
Naja tena na muswaada huuu wa Pesa Mpya ambazo BOT walizi pigia debe sana kuwa ni za ubora na kiwango cha hali ya juuu saana na sio rahisi kughushi hizo pesa mpya.
Mbali na hilo BOT walitangazia Bank zote za hapa nchi kuwa wahakikishe wame badirisha Cassette za ATM (zamani) na waweke mpya hizo Cassette za ATM ile ziweze ku load pesa mpya na zoezi hili lilifanyika vyema ila cha ajabu nashindwa elewa kila nikienda kwa ATM kutoa pesa still pesa zatoka mchanganyiko mara za zamani na mpya.
Nika pata muda ni kaweza mhoji mfanya kazi wa Bank Mmoja vipii kulikoni mbona siku hizi ninaona pesa za zamani ndizo zatumika sana kuliko mpya ??? akanidokeza akasema bwana eeeeh hawa BOT walichemka sana hizo pesa mpya zina matatizo kumbe ni zachakaaa haraka sana kuliko pesa za zamani, Khhhhaaaa nika staahajabika sana sasa Pro: Benno Ndullu alikuwa anajigamba nini ???? sasa huyu bwana akaniambia hapo BOT inaingia gharama nyingine tena kuzirekebisha hizo pesa which means ni kuzichapa tena upya na hili BOT wamekaaa kimya kumbe wanalifanya kwa siri.
Nchii hiii jamani dhuuuuuu!!!!!
Karibuni kuchangia Hoja