Wazoefu, naombeni mniambie procedure ya kununua bond za BOT za miaka 25 ambazo zitauzwa wiki ijayo. Nikisoma link yao sielewi na bahati mbaya nakaa mikoani.
Nikuombe radhi mtoa thread Kwa kuingilia mada yako ila naomba na Mimi nieleweshwe wale walionunua hisa CRDB mrejesho ukoje? Hii inaweza kunipa uwezo wa kukujibu mada yako
Sijawahi nunua but huwa nafuatilia kiasi chake. Bonds za serikali unaweza kuzinunua kupitia mawakala wanaotambuliwa na BOT.
Bank kama NBC na CRDB ni miongoni mwa mawakala. Wapo pia mawakala binafsi. Ili kukununulia, wakala itabidi atoe offer ya kwamba atainunua kiasi gani shilling 100 ya serikali?
Kama offer yako ni sawa, basi utakuwa umeshinda zabuni. Crudely, that's what I know. Wataalamu wataongeza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.