Boss wangu ananiumiza hisia zangu

Binti ACHA umalaya maofisini utapoteza kazi,wanaume wazuri wapo Kila Siku ,utachezewa wewee na wanaume maofisini endelea kujitongozesha...tunza utu wako dogo
 

Sawa nimekuelewa
 
[emoji24][emoji24][emoji24] kisa langu ni kuwa vulnerable
Piga kazi, mpotezee.
Na ukimpotezea, akiwa na upwiru lazima aje tena kwako, utamkubali halafu akiridhika mnarudi mwanzo. Utampotezea tena, utamsamehe, atarudia hivo hivo. Ndo maisha yenu girls kama wewe mnakuaga labda jamaa aamue sasa anakupotezea.

Hamshaurikagi nyie.
 
Wake za wadogo zetu Hawa...kwanini wasituletee watoto wasiofanana na baba zao Kwa staili hiii
Inasikitisha sana mkuu. Sex imekua kama handshake tu.
Nyuchi za wadada zipo available njenje mpaka zinakinaisha, wakati enzibzetu ilikua ukiona shuka la guest limeanikwa tunadindisha siku tatu.
 
Na ukipata kazi sehemu nyingine upende boss mwingine[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Ndo maana nimeona bora niache hapo nitafute sehemu nyingine then nifute no yake
 
Ukijihusisha na kazi za Madawa ya Kulevya lazima yakukute.

“ PRATA OR PROMO”
 
Tego alafu chambo ni mkunga chui jichanganye sasa ucheze disco la yesu
 
Ulikiuka sharti langu sasa utaisoma namba kwa kirumi dada,
 
Pole sana, hisia ni kitu Cha ajabu sana, nakushauri tu, acha kumfatilia boss wako kaa kimya, usimuulize kitu, mpotezee, Yani atakutafuta kama kweli mlikuwa na bond! Naomba kuuliza mnamahusiano kwa muda gani sasa?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…