Mzungu akamatwa na watu wa wrong parking, akataa kulipa faini akidai aonyeshwe alama inayomzuia yeye asipaki gari mahali hapo, watu wa wrong parking washindwa kuongea english na kumpigia bosi wao ambae nae ni mbulula pia, Raia waingilia kati wakitaka mzungu huyu aachiwe kwa vile ni mgeni hajui utaratibu wa kupaki gari awapo mjini, vile vile mjerumani huyu akadai mara nyingi dereva huongozwa na alama za barabarani lakini pale hakuna alama iliyomzuia, bosi aamuru kwa simu mzungu aachiwe.
Je wewe mwenzangu umejifunza nini hapa?
Kwa upande wangu nimeona kama vile kuna uonevu mkubwa sana kwa hawa jamaa wakiwalipisha watu sh 50,000 kwa makosa ambayo hata serekali haiwezi kukuadhibu hivyo, alafu kwa nini wanawaadhibu watu kwa makosa ambayo si ya makusudi, nasema si makusudi kwa vile sehemu nyingi wanazoadhibiwa watu hazina alama so mtu anapaki bila kujua kama kapaki vibaya kwa vile kosa la makusudi ni lile ambalo mtu anakiuka kwa makusudi angali anajua anachofanya ni kosa.
Ushauri: Wrong parking Arusha wekeni kwanza alama kwanye sehemu zote zisizoruhusiwa kupaki magari, la sivyo tutaanzisha kampeni ya kuwapinga kwa nguvu ya umma.
Je wewe mwenzangu umejifunza nini hapa?
Kwa upande wangu nimeona kama vile kuna uonevu mkubwa sana kwa hawa jamaa wakiwalipisha watu sh 50,000 kwa makosa ambayo hata serekali haiwezi kukuadhibu hivyo, alafu kwa nini wanawaadhibu watu kwa makosa ambayo si ya makusudi, nasema si makusudi kwa vile sehemu nyingi wanazoadhibiwa watu hazina alama so mtu anapaki bila kujua kama kapaki vibaya kwa vile kosa la makusudi ni lile ambalo mtu anakiuka kwa makusudi angali anajua anachofanya ni kosa.
Ushauri: Wrong parking Arusha wekeni kwanza alama kwanye sehemu zote zisizoruhusiwa kupaki magari, la sivyo tutaanzisha kampeni ya kuwapinga kwa nguvu ya umma.