Massenberg
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 1,173
- 1,370
Wasiwasi mkubwa juu ya mwenendo wa hiyo kesi, nawahakikishieni huyo jamaa hatafungwa na atakimbia nchi, tusubiri tutasikia tu.
Yule si mwanamama ambaye bado yuko jail where she belongs?MD ndio yule Mnigeria aliyekutwa na kashfa na kuwa convicted kwa ufisadi wa kibenki kule Nigeria au mwingine?
Kati ya vitu alivyokutwa navyo O'bay kwenye appartment yake ni dawa za kulevya swali hatujui kama ni za kuuza au ni pamoja na kutumia. Tusubiri report ya police leo jioni.
Kilwa Road ndio wana deal na mihadaratiKwnn apelekwe Kilwa road police post wakati anakaa Oysterbay?
Alafu unaongelea unyanyasaji bila kueleza kwa undani ni wa namna gani.
Watanzania ni wavivu na akitokea mtu akawabana kidogo basi tunapiga kelele za kunyanyaswa.
kasomee hata certificate ya sheria itakusaidiaMtuhumiwa wa madawa ya kulevya anapewa dhamana?
Kosa lake nini?Mbona ameuliza kiungwana tu!Au wewe huwa huulizi? Unajua yote?Watu wengine very disappointing!kasomee hata certificate ya sheria itakusaidia
<br />kasomee hata certificate ya sheria itakusaidia
Police wetu saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaafi kwa ushirikiano,manake mtu kwao jamani.Ukidharauliwa kwenu nani atakuhifadhi.